Habari wana jf,naomba naomba msaada. ni hv, maskan aliletwa housgal na mm kwa tamaa zangu nikaanza kumega. Mwanzon nilikuwa natumia kondom badae nkawa ctumii si unajua tena kwa housgal unamega muda wowote. Baada ya mwez sasa nimeanza kutokwa na vimajmaji vyeupe kwenye tupu yangu na uume umekuwa unaniwasha na nikijikuna naskia kama raha ivi.ayo majimaji nikikaa kila kama nusu saa ivi nayakuta yametoka na kuweka alama kwenye chupi au nikifanya kama napiga puri na kukamua pia yanatoka lkn co mengi ni kama vimatone. Je hii ni dalil ya ugonjwa wa zinaa.msaada please