Dalili kuu 7 zinazoonyesha mtu ambaye atachelewa sana kufanikiwa.

Wewe endelea kujidanganya tu mkuu "..
 
Wongo mtupu we inaelekea huna hizo sifa ulizoandika hapo juu... Najiona upo sawa...mi naongea sana kuliko kusilikiliza lakin namaendeleo vizur vocha nanunua whasap naingia na Pesa naingiza vilevile
 
Namba 1 na 7 vinajichanganya....siku nyingine usirudie kuweka picha ukiwa umelembua namna hiyo kuna wahuni wa Mombasa humu Ohoooo
 
Hizo sifa ulizotaja zina muunganiko gani na hiyo picha mkuu???
 
Wenzako wanaanzaga kuifaham jf wakiwa guest kwanza na baada ya kuifaham ndo anajiunga then baada ya mda tena ashasoma gap ana comment taratb taratb na baada ya kuuelewa upepo vzr ndo anaandka uzi, asa wewe si ajab umeijua jana, leo umejiunga asaiv umeandka uzi, Matokeo yake n kutuwekea picha na links,

Ngoja wehu waamke huko utataman uingie kwenye kopo la chumvi
 
ahsante kwa nondo kaka ila namba moja na sabaa vipi hapo hebu pasome vizuri au sioni vizurii
 
Dalili au tabia za maskini wengi. Kama unabisha angalia asilimia kubwa ya watz maskini wanaishije.
Bila kusahau roho mbaya, pale ambapo mtu mwenye uwezo akipata shidah yeye hushangilia.
 
Hivi kabla ya Watsap, Instagram na mitandao mingine ya kijamii tulikuwa tunapata maendeleo haraka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…