Dalili kuu 7 zinazoonyesha mtu ambaye atachelewa sana kufanikiwa.

Perfect. I completely agree with you.
Hongera sana kwa thread nzuri. Endelea kutuletea thread nzuri kama hizi.

Big up[emoji123]
 
Kila siku tunaimba humu 'MAISHA HAYANA FORMULA', Kwanini hamtaki kusikia
 
Haya ni mawazo ya wanafunz wa vyuo vikuu Huwa wanaamini katika maandishi kuliko vitendo
Theories ndo huleta vitendo, jambo lolote huanza na nadharia then baada nadharia ndo vitendo ili kutekeleza hiyo nadharia!
Tatizo lenu mliokimbia shule mnaufinyu wa mawazo mmejaa ujinga kichwani
Ukishaanza kuuza mitumba tu ndo unajiona upo na vitendo sana!! Stupid!
Hujui hata hiyo mitumba ilianza na theory
 
Ila mafanikio Hayaji kwa kusoma vitabu na kujifunza kwa waliotangulia tu mafanikio ni hatua kwa hatua.

Usisahau ukijikwaa simama jipukute kisha endelea na safari kamwe usiogope kufeli. Hizo Ups and Down zipo tu na zinakuweka imara sana. Good lucky
 
Ila theory inakuja baada ya vitendo si ndio? kwasababu hawezi ku create theory Bila kuona vitendo dude
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ila theory inakuja baada ya vitendo si ndio? kwasababu hawezi ku create theory Bila kuona vitendo dude
Nan kakudanganya? Chemsha bongo! Kitendo chochote kinaanza na fikra(theory)
Ndo maana unaambiwa fikri kabla ya kutenda na sio tenda kabla ya kufkri. Stupid!
 
namba 5 imedhiirika kwenye comment za watu inaonesha umewakuna kunapo washaa...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…