Dalili kuu za mtu aliyefanyia mambo ya uchawi mtu aliyerogwa kiuchawi

Dalili kuu za mtu aliyefanyia mambo ya uchawi mtu aliyerogwa kiuchawi

Habari mtaalam! Mimi nina tatizo la tumbo kujaa gesi na baada ya kujaa gesi najihisi kwenda haja kubwa. Kwa siku najisaidia haja kubwa zaidi ya mara nne hususan wakati wa asubuhi. Tumbo likijaa gesi hata kazi siwezi kufanya. Hiyo inaweza kuwa dalili za uchawi?
 
Habari mtaalam! Mimi nina tatizo la tumbo kujaa gesi na baada ya kujaa gesi najihisi kwenda haja kubwa. Kwa siku najisaidia haja kubwa zaidi ya mara nne hususan wakati wa asubuhi. Tumbo likijaa gesi hata kazi siwezi kufanya. Hiyo inaweza kuwa dalili za uchawi?
Una Asidi nyingi Tumia dawa hii itawea kukusaidia .Chukuwa punje 1 ya Kitunguu Saumu tafuna umeze na ukinjwa Asali safi kipimo cha nusu glasi Asubuhi kabla ya kula kitu na wakati wa mchana kula tena na wakati wa usiku tumia tena hiyo njia kwa siku 3 au siku 5 utapona. Usipo pona basi utakuwa una mambo ya kichawi utanitafuta mimi kwa wakati wako.
 
Back
Top Bottom