Dalili za Fangasi ukeni

Dalili za Fangasi ukeni

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
●Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara
●Vipele vidogo vidogo ukeni
●Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya
●Vidonda au kuwa na michubuko ukeni
●Kutokwa na harufu mbaya ukeni
Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini
●Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.
●Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Fangasi Isipotibiwa huingia mpaka kwenye kizazi na kusababisha PID.

Jali Afya yako.

1721458941291.jpg
 
Back
Top Bottom