Dalili za homa ya dengue

Dalili za homa ya dengue

tarmy

New Member
Joined
May 15, 2019
Posts
2
Reaction score
2
UGONJWA WA DENGUE NI MOJA KATI YA MAGONJWA HATARI AMBAPO IMETAJWA KUWA WATU 12000 WAMEGUNDULIKA NA UGONJWA HUO KUANZIA MWENZI JANUARI MPKA MWENZI WA TANO HUKU JIJI LA DAR ES SALAAM LIKIONGOZA KWA KUWA NA WAGONJWA WENGI IKIWA NA WAGONJWA 1150.....

UGOJNWA HUU WA DENGUE HUWEZA KUTAMBULIKA KWA KUPITIA DALILI ZAIFUATAZO:


1-homa ya ghafla
2-kuumwa kichwa
3-uchovu
4-maumivu ya maungo na misuli
5-kichefuchefu na kutapika
6-maumivu ya macho
7-muwasho na vipele vidogo vidogo

PIA ZIPO NJIA ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU HATARI WA DENDUE:

1-kuangamiza mazalia ya mbu
2-kulala kwenye chandarua chenye dawa
3-kuvaa nguo ndefu

Homa yq dengue inaambukizwa na virusi vya mbu aina ya Aedes ambao ni weusi wenye madoa meupe yenye kunga'aa ...dalili za UGONJWA huu huanza kuonekana Siku 3 mpka 14 toka mtu alipoambukizwa

Ndugu zangu wananchi tuchukue tahadhari na UGONJWA huu kwa kulala kwenye vyandarua vilivyotiwa dawa na kuondoa mazalia ya mbu kwa maelezo zaid ni follow Instagram @tarmybreez_51 au email nehemiaabed51@gmail.com...... Kwa. pamoja tunaweza kutokomeza dengue na kuokoa nguvu kazi ya taifa inayoweza kupotea
 
Back
Top Bottom