EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Na watazidi kwa kipindi cha mitano mingine ijayoNakumbuka kuna mtu aliwahi kusema wakati tunaanza 2016 kwamba kufikia 2020 kutakuwa idadi kubwa sna ya wagonjwa wa Presha, Kisukari na pia watu wanajiua, yanatimia jadidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Usijali nataka nikukamate.. fungua pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji23][emoji87][emoji87]
Jr[emoji769]
Wanaficha mpaka vinavyoonekana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]mtu kachinjwa na kisu na kipo pembeni yake.. Wanasema kakatwa na kitu chenye ncha kali
Jr[emoji769]
Mtu anauwa kwa kupigwa risasi na maganda ya risasi yakutwa eneo la tukio wanasema ameuwa ni kiti kinachodhaniwa kuwa ni bunduki,
Kule Iringa polisi hawahawa walimuua Mwangosi kwa bomu halafu wakasema ameuawa na kitu kinachodhaniwa kuwa silaha !!
Kwa kifupi viongozi wote awamu hii waende wakapimwe afya ya akili..... Naona faza hausi katangaza tufuge wanyamapori.... Sasa sijui naanzaje mie kufuga chuiAwamu hii ya 5 unaweza ukawa chizi usijijue kama umeshakuwa chizi mpaka hapo utakapoona watu wanakuvizia na kamba ndio utagundua hauko timamu
Niliona jana kwenye luninga, ninavyoijua mimi hii serikali mtu asije kujidanganya kuanzisha hayo sijui mazoo, sijui mashamba ya wanyama, unaweza kuanza leo vizuri, kazi ikikaa vizuri shamba likajaa wanyama, utasikia wanakuja wanakuambia umevunja sheria, wanataifisha na wanakufungulia kesi, sasa hapo ndio ulikuwa umeweka hela yako baada ya kustaafu, si utakufa mapema sana, maana hawaamiki hata kidogo, watakuambia nyara za serikali, watu wananunua silaha kihalali, wanalipia maleseni yao, unashangaa wanakukamata wankuambia unamiliki silaha kinyume na sheria, wengi wameshabambikwa makesi hivihiviKwa kifupi viongozi wote awamu hii waende wakapimwe afya ya akili..... Naona faza hausi katangaza tufuge wanyamapori.... Sasa sijui naanzaje mie kufuga chui
Sent using Jamii Forums mobile app
Matembele yepi kaka, haya haya ya kukulia ugali?![emoji23][emoji23][emoji23]hayashindi matembele
Jr[emoji769]
OgezeaTambua Dalili za kujinyonga
Police Tabora yatangaza kuwasaka wanaotegemea kujinyonga. Zifuatazo ni baadhi ya viashiria vya anayetaka kujinyonga
1. Kuzungumza kuhusu kujinyonga
2. Kujitengatenga na kukaa pekeyako pekeyako
3. Kuwa na mood isiyotabirika Leo uko vzur kesho vibaya mno
4. Kuwa na mawazo yanayohusu kufa muda mwingi
5. Kujisikia huna tumaini lolote
6. Kunywa pombe kupita kawaida
7. Kuwaaga watu kama vile hamtakutana tena
8. Kuwa mkali kwa kitu kidogo tu
9. Kuongea pekeyako pekeyako
NB: Tumsaidie RPC Tabora Dalili za wanategemea kujinyonga mwaka huu ili kuokoa maisha
Jr[emoji769]
π€£π€£π€£π€£Hio number 3, inamhusu Genta,, RPC ashike huyo mtu [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ogezea
1. Kugonga nyagi kwa maandalizi ya kazi nzuri halafu fimale asitokee
2. Kucheza michezo ya kubahatisha ukakosa timu 1 kati ya 20 ilozozichagua
3. Mwanafunzi kula school fees
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ daaah seriously????Jamani mafenesi yalivyo matamu naanzaje kuwaza kujinyonga!
Labda binadamu wote tuliopo ndani ya ardhi ya Tanzania ni mali ya serikali, ndio maana wakikuta na dhamira yako ya kutaka kujinyonga kabla hujaitekeleza watakupeleka mahakamani kama walivyosema.Lakini pia, hivi ni kwanini unataka kumshitaki mtu anaetaka kujiua mwenyewe ?, kwani anaua mtu ?, kwani mnamdai ? anawapunguzia nini nyinyi kama serikali ?, hii serikali ya awamu hii imesababisha watu wengi wanakosa matumaini na hivyo kuona bora kufa, nashauri wawaache tu watu wafanye wanalopenda kufanya, maisha hapa bongo hayafai, kama rais mwenye anawataka watu waishi kama mashetani, nani anataka kuwa shetani ?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Ndiwooo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah seriously????