Huyo ni ***** tu. Mie hata namba yangu huwa sitoi, na sina simu nyingi, line yangu toka ananifahamu na huwa jina langu halisi sitaji, mara naitwa Mabondo, Shangali etc. Sitaki mazoea na mtu. Tunakutana wkend unakula bia, nachuja then chukua time. Mke wangu mwenyewe anatoa kwa wiki mara moja, niking'ang'ania anatega tu kama landmine anasubiri nimalize sasa cha kufia nini wala sitaki tugombane, wanangu wanahitaji mama yao aliyeolewa, na simuachi, wala sigombani nae kisa mbunye! Kitu gani bana! Mie uwezo wangu mkubwa sitaki kugombana nae. Ila rules zangu ndo hivyo, no real name, no my number, u wont know my real work place and where i reside! Tunamalizana then usinitafute nitakupigia as long i have your number. Na ukipata boyfriend just tell me ukitaka kuolewa nitakuchangia. In short sitaki mazoea, mke wangu nimetoka nae mbali toka napanda daladala mpaka leo hata nauli sijui ni ngapi. Cha kumbana na mke wangu kisa sex ni kitu gani? Mwache ajiridhikie kupata mume kama mie! Ha ha ha! Maisha mazuri bila ugomvi, cha kujionyesha mbele za watu kuwa una nyumba ndogo nini!