Beesmom mambo.Yaan kakuchoka au hajawahi kukupenda na aliingia kwenye ndoa akiwa na target zake
Mi naanza na
1.kosa dogo tu kakasirika au kudai talaka kabisa.
2.
3.
4.
5.
6.Nakuendelea....
Kupopolewa ruksa maana katika maisha lazima upokee negative na positive.
Safi tu, inaonekana wew ni mtu wa research sana kwenye mapenz.Poa,vp
π€£π€£π€£π€£ usiambiwe,,???kuambiwa unanuka mdomo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usiambiwe,,???
Pole sana.No,mi ni singlemom...nimepitia mengi hata ivo