FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Hata akiwa ananuka mdomo kama maiti ya panyabuku unaona poa tu.Wakati ukipenda MTU hata harufu ya kikwapa unaona ni kuruthumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akiwa ananuka mdomo kama maiti ya panyabuku unaona poa tu.Wakati ukipenda MTU hata harufu ya kikwapa unaona ni kuruthumu
Kwanin wasema hivyo mkuuKawaida Mkuu,kila MTU hufa na jina lake na historia yake
Kuwekewa kijembe status, ukishaiona inafutwa!mke aliyekuchoka..
1-hata ukirudi usiku wa manane hakuulizi
2-ukipanda kitandan atageukia kushoto
3- atashinda mchana kutwa asikujulie hali
4-ukiwa haupo nyumban yeye kwake ni bora zaidi
Sawa mkuu, lakin usibebe kinyongo au chuki yeyote kwa aliyekuumiza, maana maisha yenyewe mafupi tu haya ni vizuri kumwachia Mungu kila changamoto unayopitia maishani.Tayari ni historia yangu kwa haya maisha yangu
MulemuleeMwanaume
1: hakushirikishi kwenye maamuzi ndani ya nyumba
2:mwanaume anavyompenda mkewe huwa na kiu ya kumfurahisha hivyo akikuchoka furaha utaipata kwa mkojani (vipindi vya runinga)
Mwanamke
1: Dharau na kejeli
2:Hawazi maendeleo ya pamoja kwenye familia ,uchuma ulete unazidi
3:Unyumba kupewa utafkiri unaomba kitambulisho cha NIDA,punani unapewa kwa mwaka mara moja
4:Hajali hali ya mume,kiuchumi na kihisia..kiuchumi -mke anachotaka mume asikose
Ukiachilia maumivu bas umeruhusu mwanya wa kuzoewa tena... Mimi na ex ni sawa na Marioo na song lake....bora kufaSawa mkuu, lakin usibebe kinyongo au chuki yeyote kwa aliyekuumiza, maana maisha yenyewe mafupi tu haya ni vizuri kumwachia Mungu kila changamoto unayopitia maishani.
Sawa mkuu mie cna mengi.Ukiachilia maumivu bas umeruhusu mwanya wa kuzoewa tena... Mimi na ex ni sawa na Marioo na song lake....bora kufa
Wanajenga kwaoMwanaume
1: hakushirikishi kwenye maamuzi ndani ya nyumba
2:mwanaume anavyompenda mkewe huwa na kiu ya kumfurahisha hivyo akikuchoka furaha utaipata kwa mkojani (vipindi vya runinga)
Mwanamke
1: Dharau na kejeli
2:Hawazi maendeleo ya pamoja kwenye familia ,uchuma ulete unazidi
3:Unyumba kupewa utafkiri unaomba kitambulisho cha NIDA,punani unapewa kwa mwaka mara moja
4:Hajali hali ya mume,kiuchumi na kihisia..kiuchumi -mke anachotaka mume asikose
DuWanajenga kwao
🤣🤣🤣Kuupata unyumba mpaka uombe sana na akikupa anakua hana mzuuka anakuacha umalize haja zako tu ....utasikia umenichafua tu[emoji16][emoji16]
🤣🤣Ukichokwa dah tabu sana yaani inakuwa kama mgonjwa asiyena radha mdomoni, ukimpa uji anataka chai, ukimpa chai anataka maji balaa.
2. Mwenza/mpenzi kupunguza ama kuacha kabisa kuhudumia kimahitaji mwenzie.
3. Kukulinganisha na kukutoa kasoro ambazo mwanzo kwake zilikuwa ni sawa.
Yaani mwanaume unanuka kwapa bora mbususu yangu nikampe mbwa/ yaani mwanamke gani hujui kupika ugali, unapika ugali mgumu kuliko maisha yangu.
#kasheshe