Dalili za mume anayetembea na "house girl"

Dalili za mume anayetembea na "house girl"

Hizi shughuli nyingi namna hii sitaziweza. Dah yani nimlinde binadamu mkubwa kama vile Mbuzi. Hapana siwezi. Dah hizi ndoa za hivi mbona Shubiri. Poleni sana wenye mapito kama haya.
 
haisee ni balaaa, itabidi utupe na hints za mama mwenye nyumba anayerusha roho na house boy

safi! Nakuunga miguu, akishindwa kutupa hizo hints hizo tabia ni za kwake yeye na house girl wake.
 
Nahisi imefika hatua ukiwa kwenye ndoa...priority namba one ni mume asitoke na mwanamke mwingine.....!!!
Ukiwa ofisni,kanisani,jikoni,kitandani mawazo yanazungukia kwenye possibility ya ana cheat, ana chitije na nani? kuna maisha kweli hapo?
Have fun people,life is too short to worry that much about men....!!
Life is for the living!
 
Siku hizi hamna ndoa, ni ndoano. Watu wanaishi kama wanaigiza vile. Sasa baba mwenye nyumba kwa kabinti ka kazi unafata nini?

mbona unakomalia sana bb na hg, zungumzia basi kidogo kuhusu mama na hb, nakuamini, una experience isiyopungua miaka 10, so you are fit.
 
Nahisi imefika hatua ukiwa kwenye ndoa...priority namba one ni mke asitoke na mwaname mwingine.....!!!
Ukiwa ofisni,kanisani,shambani,kitandani mawazo yanazungukia kwenye possibility ya ana cheat, ana chitije na nani? kuna maisha kweli hapo?
Have fun people,life is too short to worry that much about Women....!!
Noted Clearly Michelle
 
Tukurani mpendwa kwa ujumbe mzuri sana ili tusitumie muda mwingi kuwafikilia wa baba hawa hasa wenye tabia kama izi kwani maisha mafupi haya kili mtu afanye lile linalompa amani na raha kama ni hulka yao hatuwezi kulibadili hilo kumbuka hawajaanza leo kikubwa angalia maisha yako wewe kama mwanamke mpambanaji na sio mpotezaji ili bila wanaume inawezekana tubadilishe mionekano na misimamo tutafika 2:dance:
 
Wa mama yawapasa pia kuwa na imani na waume zao khs HG kwani kama mtaweka mbele mawazo hayo maana yk huwezi muacha mumeo nyumbani na watoto at mume atamchukua HG, wengine wana wachukua kama watoto wao wakuwazaa lkn mkiwa na hofu sn, mwisho mtagombana nakuweka uhasama ktk ndoa, wanaume sikama hawana akili wanapofika kwenye suala mahusiana ya mapenzi na ndoa, kwhy iwena na amani, lkn Biblia imesema kuanzia sasa mwanamke atamlinda mumewe, khy mnatimiza neno la Mungu, ni sw.
 
duuuhhh
Pressure sitaki
sijawahi kumfuatilia mwanume yeyote
sijawahi kumchunguza mwanaume yeyeto
kweli naona unajipa kazi ya ziada ambayo
mwisho wa siku unaumwa na kishwa sababu
hukupata majibu ambayo unayategemea.
au utapatwa na pressure kwa kupata jibu

balaa sitaki siku yakiiva yatajitokeza
yenyewe hata miaka 25 baadaye ( Arnold Schwarzenegger)
 
.

DALILI YA PILI


ukikuta ni taarifa ya habari ya Sky News,CCTV, CNN, BBC au Al Jazeera, ujue huyo mwongo tu, hana lolote.

.

Kama umezoea sinema za ki-naijeria ni wewe tu, wengine chaneli zetu ni CNN, BBC, DWtv, CCTV, Aljazeera and the like.
Usitugombanishe na wake zetu tafadhali.
 
kazi ipo,
mmh maana huo mtiririko utadhani ni plan ya kumkamata osama,
kumbe ni kuzuia mume asicheat,
acheat tu kama anataka maana naona kama anapata shida zaidi ya kufaidi.
Mwanampotevu salama lakini ? si afadhali sisi hatuna mpango wa kuajiri hausigeli.
 
wanaume wanatembea na HGs (Mugros) frankly speaking ni mijitu isiyojitambua. Utaishije kila siku katika mazingira ya udanganyifu mkubwa namna hiyo. How will you look at ur wife wakati within your house ur romping with ur msichana wa kazi. Hivi mnapataga wapi nerves za kutongoza visichana vya kazi!
Wanaume wa namna hii wanahitaji semina elekezi!
 
Back
Top Bottom