Dalili za mwanzo israel mtoa roho

Dalili za mwanzo israel mtoa roho

Dalili kuu ukiona unashabikia ule mtaa wa lumumba bila kupenda moyoni mwako!

Ukiona kuwa unatamani kutoka upande pendwa kwenda upande mwingine kwa kununuliwa na ahadi ya vyeo

Ukiona wewe ni kijana wa 27yrs hadi 32 afu unashabikia chama kina 40+yrs
Halafu ongezea na hii ukiona umeanza kupinga kila kitu hiyo ni dalili mbaya sana
 
Mods uzi wangu mumeufanyia matunguri mbona sioni viewers na wachangiaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila Malaika alipewa kazi yake na Mwenyezi Mungu ..na sio kwamba Mungu hana uwezo wa kufanya hizo kazi peke yake maana yeye ni muweza wa yote na hakuna linalomshinda.

Yeye akisema kuwa basi kitu kinakuwa, sasa basi, aliwapa Malaika kazi za kufanya kwasababu ya kuonesha kwamba hana ubaguzi na viumbe wake.

Na ndio Malaika wakajisikia faraja kuachiwa kazi mbali mbali wafanye wao kwa amri ya Mungu.
Ngoja niwaweke majina ya Malaika wakubwa na kazi zao.

1. RIDHWAAN: Huyu alipewa kazi kulinda milango ya peponi.

2. MAALIK: Kazi yake kulinda milango ya motoni.

3. ISRAFIIL: Huyu alipewa kazi ya kuja kupuuliza parapanda siku ya kufufuliwa (kiama).

4. MIKAIIL: Alipewa kazi ya kuruhusu mvua kunyesha pamoja na mimea.

5. ZIRAIIL: Kazi kusubiri amri kwa Mungu nane anamuhitaji yeye anaenda kuifanya kama walivopewa majukumu wengine. Kwahiyo sasa ..kila mtu anamjua huyo Malaika kwakuwa kapewa jukumu zito linalogusa nyoyo zetu, kwa leo niishie hapo.
 
  • Wakuu leo nimekuwa nikijiuliza hivi dalili za kumendewa na Israel mtoa roho ni zipi?
  • Pia,hivi israel mtoa roho ni wa Mungu au wa shetani?
  • Utajuaje Israel kakuandalia visa ya kuzimu au peponi?
  • Hivi Israel mtoa roho unamuogopa?
Israel sio mlaika mzuri huyu
Nipo na Mimi sio wa shetani
 
Back
Top Bottom