Ni kawaida siku hizi kuona askari wa usalama barabarani wakiwa na magari yao wemeyaweka vichakani wakisimamia sheria za barabarani au wakifanya kazi ya kukamatakamata.
Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji.
Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
Uhalisia ni kwamba, askari hawa huweka mafuta na hawana namna ya kupata pesa zao zaidi ya kutoka kwa watumia barabarani.
Kwa lugha rahisi, rushwa za barabarani zitapungua pale vitendea kazi vitakapokuwa vya kutosha.
Vinginevyo, tutalipia sana mafuta ya askari na ndio rushwa husika.
Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji.
Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
Uhalisia ni kwamba, askari hawa huweka mafuta na hawana namna ya kupata pesa zao zaidi ya kutoka kwa watumia barabarani.
Kwa lugha rahisi, rushwa za barabarani zitapungua pale vitendea kazi vitakapokuwa vya kutosha.
Vinginevyo, tutalipia sana mafuta ya askari na ndio rushwa husika.