Wajinga sana wanatabia ya kukimbiza magari kwa bodaboda hawa hawana maadili kbs ya kazi. Hakuna trafiki ambaye atanikamata awe na gari lake nitamvunjia vioo hatoamini..wapo hapa Bucha Kimara na rombo asubuhi wanataki magari yao barabarani kabisa kusudi ukanyage lane ya mwendokasi wakulipishe.Hii imekuwa hulka. Wapo maeneo yote. Wengine wanafanya doria na gari zao usiku.
Nachojua magari mengi ya PT serikali ndio inagharamikia mafutaani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
ukivunja kioo utalipa,hata kwa makofi.Wajinga sana wanatabia ya kukimbiza magari kwa bodaboda hawa hawana maadili kbs ya kazi. Hakuna trafiki ambaye atanikamata awe na gari lake nitamvunjia vioo hatoamini..wapo hapa Bucha Kimara na rombo asubuhi wanataki magari yao barabarani kabisa kusudi ukanyage lane ya mwendokasi wakulipishe.
Kuibia watu ndio mnaona haki yenu utanikamata vipi na gari la raia uenda ni majambazi.ukivunja kioo utalipa,hata kwa makofi.
bora ukimbie kama huna imani,kuvunja kioo unatafuta kutoboka zaidi makusudi.Kuibia watu ndio mnaona haki yenu utanikamata vipi na gari la raia uenda ni majambazi.
Kwanini nikimbie. Ni bora kujitoa sadaka kwa uhai wa wenginebora ukimbie kama huna imani,kuvunja kioo unatafuta kutoboka zaidi makusudi.
Wadau ndio tunaojaza mafuta ktk magari ya polisi.Nasikia wakisema mara nyingi eti bajeti yao ni ndogo.Nachojua magari mengi ya PT serikali ndio inagharamikia mafuta
na utakuwa sadaka kweli,wengine wakiendelea na maisha.Kwanini nikimbie. Ni bora kujitoa sadaka kwa uhai wa wengine
mtu anaombwa rushwa badala akomae kulipa fine 30,anatoa rushwa 2k halafu anakuja kulia lia huku!!!Kati ya wew unaeombwa Rushwa na hao Traffic bila kuwareport,
Na hao Traffic wanaokuomba Rushwa nani ni Kirusi Mkuu
Inafikirisha sanaNi kawaida siku hizi kuona askari wa usalama barabarani wakiwa na magari yao wemeyaweka vichakani wakisimamia sheria za barabarani au wakifanya kazi ya kukamatakamata.
Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji.
Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
Uhalisia ni kwamba, askari hawa huweka mafuta na hawana namna ya kupata pesa zao zaidi ya kutoka kwa watumia barabarani.
Kwa lugha rahisi, rushwa za barabarani zitapungua pale vitendea kazi vitakapokuwa vya kutosha.
Vinginevyo, tutalipia sana mafuta ya askari na ndio rushwa husika.
Huu mjadala ni wa kimfumo. Sio wa mtu kutoa 2k. Tunaangalia vichochezi vya rushwa jinsi vilivyo wazi.mtu anaombwa rushwa badala akomae kulipa fine 30,anatoa rushwa 2k halafu anakuja kulia lia huku!!!
unafiki.
rushwa ni maamuzi na tabia,ni ngumu kupigana na rushwa kama mtoaji anafanya unafiki.Huu mjadala ni wa kimfumo. Sio wa mtu kutoa 2k. Tunaangalia vichochezi vya rushwa jinsi vilivyo wazi.
Tungefika kwenye camera au matumizi ya teknolojia, tatizo hili lingepungua sana.