Pamoja na mtoaji, huyu mpokeaji anayetumia usafiri wake binafsi kwenda kusimamia sheria. Matokeo yake ni kulipwa pesa binafsi ambayo ndiyo rushwa.rushwa ni maamuzi na tabia,ni ngumu kupigana na rushwa kama mtoaji anafanya unafiki.
jukumu lako ni kudai risiti ya kodi halali.Pamoja na mtoaji, huyu mpokeaji anayetumia usafiri wake binafsi kwenda kusimamia sheria. Matokeo yake ni kulipwa pesa binafsi ambayo ndiyo rushwa.
Usihangaike na utetezi, tutengeneze mfumo unaootoa haki. Kupokea buku 2 na kutoa yote ni matatizo.jukumu lako ni kudai risiti ya kodi halali.
sio unampa buku mbili halafu unakuja kutafuta ufumbuzi huku,ni ujinga.
namtetea nani!!!Usihangaike na utetezi, tutengeneze mfumo unaootoa haki. Kupokea buku 2 na kutoa yote ni matatizo.
Na humo ndiyo hukusanyia rushwa, mfano halisi na hai ni traffic police wanaojificha kwenye kile kichaka cha opposite na shule ya msingi Sokoine Mvomero na wale wa Sido IringaNi kawaida siku hizi kuona askari wa usalama barabarani wakiwa na magari yao wemeyaweka vichakani wakisimamia sheria za barabarani au wakifanya kazi ya kukamatakamata.
Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji.
Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
Uhalisia ni kwamba, askari hawa huweka mafuta na hawana namna ya kupata pesa zao zaidi ya kutoka kwa watumia barabarani.
Kwa lugha rahisi, rushwa za barabarani zitapungua pale vitendea kazi vitakapokuwa vya kutosha.
Vinginevyo, tutalipia sana mafuta ya askari na ndio rushwa husika.
Swadakta!Ni kawaida siku hizi kuona askari wa usalama barabarani wakiwa na magari yao wemeyaweka vichakani wakisimamia sheria za barabarani au wakifanya kazi ya kukamatakamata.
Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji.
Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.
Uhalisia ni kwamba, askari hawa huweka mafuta na hawana namna ya kupata pesa zao zaidi ya kutoka kwa watumia barabarani.
Kwa lugha rahisi, rushwa za barabarani zitapungua pale vitendea kazi vitakapokuwa vya kutosha.
Vinginevyo, tutalipia sana mafuta ya askari na ndio rushwa husika.
Niliwahi mara kadhaa kupita Barabara ya arusha-kisongo , kila hiace ya abiria ikifika pale tawi la shule ya Moshi international/mkabala na gereza la kisongo kondakta au dereva hushuka na kukabidhi kwa trafic 2000/-.hakuna ukaguzi au kazi nyingine hapo zaidi ya kupokea hizo 2000/- kundi lingine la matrafic utalikuta barabara ya kuingia mahakama ya ruanda(haki road).rushwa ni donda ndugu hakika. Toa 2000/- au gari likaguliwe uandikiwe kosa na faini ya 30,000/- kazi ni kwako !Labda sheria ya polisi trafiki inawaruhusu wafanye hivyo. Umeuliza swali la msingi sana nani anawawekea mafuta. Mfano pale Mapinga ama pale njia ya kwenda Mbegani na kabla ya kuingia Bagamoyo kuna sehemu kuna mwembe wanapaki gari zao binafsi.
Ni wezi mtupu. Trafiki ni kirusi hatari zaidi ya kansa kwa kubobea kwenye rushwa hawa walitakiwa wote watolewe wakalinde vitasa.
Ni ile inayobaki wakisafisha viatuSwali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha kuwa maeneo hayo.