Dalili za ugonjwa wa figo kwa mtu kwenye shinikizo la damu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Iwapo shinikizo la damu liko juu sana(zaidi ya 200/120mm /Hg)

Shinikizo la damu la juu sana hata baada ya matibabu kuzingatiwa

Kushindwa kuona kwa sababu ya shinikizo la damu

Kuwepo kwa protini kwenye mkojo

Mgonjwa wa shinikizo la damu kuonesha dalili kama vile kuvimba, kukosa hamu ya chakula, kuchoka na kukosa nguvu
 

Mada nzuri sana lakini imekosa ufafanuzi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…