mara baada ya kujamiana na mtu mwenye v.v.u je ni kipindi gani dalili huanza kujionyesha
unaogopa kuliuguza?mara baada ya kujamiana na mtu mwenye v.v.u je ni kipindi gani dalili huanza kujionyesha
Mkuu uliuza mechi nini?
mara baada ya kujamiana na mtu mwenye v.v.u je ni kipindi gani dalili huanza kujionyesha
Sasa hivi kuna vipimo ambavyo vinaweza kubaini maambukizi kuanzia wiki tatu baada ya kuambukizwa.
Kupata dalili za ugonjwa hutegemewa kinga ya mwili na uwepo kwa magonjwa nyemelezi.
Mshauri uncle wako asiwauwe atakau anatenda dhambi nyingi sana..wengi wakishaupata wanamrejea mola wao, au kwa sababu ana hela, hataki tena maisha baada ya haya mafupi yaliyojaa stress!!chezea papuchi weyeee,inategemea na body immune zako bro,mi nina uncle wng mwaka wa 10 huu anawaua tu na wala hajaanza kutumia dawa,afya tele,na hv riziki anayo basi madem wenye tamaa ndo wanakufa tu,kama 8 hv hadi sasa washadondoshwa nae
chezea papuchi weyeee,inategemea na body immune zako bro,mi nina uncle wng mwaka wa 10 huu anawaua tu na wala hajaanza kutumia dawa,afya tele,na hv riziki anayo basi madem wenye tamaa ndo wanakufa tu,kama 8 hv hadi sasa washadondoshwa nae
Mkubwa nawe unachangia kwanini usi report issue polisi au kwenye vyombo husika? kuambukiza ukimwi makusudi ni kosa kisheria.
Mshauri uncle wako asiwauwe atakau anatenda dhambi nyingi sana..wengi wakishaupata wanamrejea mola wao, au kwa sababu ana hela, hataki tena maisha baada ya haya mafupi yaliyojaa stress!!
mkuu,nisharipoti sana wanasema hawana ushahidi wa kumtia matatani,mi mwenyewe sipatani naye
Hiyo ni cheni ambayo itawaumiza hata wa karibu yake kwani njia ndo zilezile anahisi anawakomesha wenye tamaa zao ila akubari kuwa unawahusu wa karibu ndugu jamaa na marafik pia. Muhimu ni kujikubari na kumrudia mungu. Haina sababu ya kuondoka na wengi wakati uwezekano wa kuondoka peke yako upo jamani. Tena kwa wakati huu unaweza kuishi vile utakavyo muhimu ni kufata masharti.