hahahaha ......kazi kweli kweli Boss mbona unaogopa kivuli chako 😛
Mwanamme smart anaevaa vizuri anavutia bwana asikwambie mtu. Shati saizi inayotakiwa na viatu visafi vinaweza kukusogeza walau ukasikilizwa unachotaka kusema wakati mwengine. Nice smell is an extra point too
So nilijua kapenda perfume ......hahaha
Bosi, linapokuja suala la mapenzi wanawake na wanaume hatukui.....!funny kwenye haya mambo women dont grow up....lol
always same same ....lol
but honestly kuna kitu 'usefull' umeongea...lol
Hahaaaaa yeye si ndo alikuwa anatangaza live chicken hapa....
Boss ulipata pa kuzipeleka? Angalia asije akakusaliti ukajutia vikuku vyako heri ufuge ule mayai.
(hahhaaa wee GEE SI ALIKUWA ANATAKA KUJARIBISHIA KWAKO LAKINI AU?)
Hahaaaaa yeye si ndo alikuwa anatangaza live chicken hapa....
Boss ulipata pa kuzipeleka? Angalia asije akakusaliti ukajutia vikuku vyako heri ufuge ule mayai.
(hahhaaa wee GEE SI ALIKUWA ANATAKA KUJARIBISHIA KWAKO LAKINI AU?)
Bosi, linapokuja suala la mapenzi wanawake na wanaume hatukui.....!
funny kwenye haya mambo women dont grow up....lol
always same same ....lol
but honestly kuna kitu 'usefull' umeongea...lol
Haaa nna wasi wasi unataka ajaribu atolewe upate kumcheka tu, coz unajua kuwa hapa ni full Romanesque when it comes to Romance
very true..na kila mara tunapojifanya 'tumekua' tunaharibu....lol
wanasema mapenzi 'mchezo wa kitoto wa ukubwani'...lol
trust me BEE
live chicken wana nguvu sana kwenye haya mambo lol...
Kwanza wanawake wamefanya kama ni mfuma kutoka nje ya ndoa nakufanya waone ni halali yao na sikuhiza utadhani wanamwalimu maana ukiwa naye akipigiwa simu anamjibu mumewe kama yupo karibu na mume kwakuwa naye kapiga simu ili ajue yupo wapi mke wake!kwakuwa nayeye yupo kwenye njia haramu hawezi kudadisi!ukweli mitandao ndo imeharibu kila kitu!
si ndo maana bado naamini unaweza kupeleka kwa Gee
(asikutishe na u'romanesgue bana...hebu jaribisha tuone)....lol!!!
Wewe mchuuze tu huyo mwenzio
Kwanza wanawake wamefanya kama ni mfumo kutoka nje ya ndoa nakufanya waone ni halali yao na sikuhiza utadhani wanamwalimu maana ukiwa naye akipigiwa simu anamjibu mumewe kama yupo karibu na mume kwakuwa naye kapiga simu ili ajue yupo wapi mke wake!kwakuwa nayeye yupo kwenye njia haramu hawezi kudadisi!ukweli mitandao ndo imeharibu kila kitu!
Wewe mchuuze tu huyo mwenzio
aah nilikuwa najaribu uchuuzi wa akili za wabeba magunia ya mkaa na live chicken!! ila najua hadiriki hapo...lol!
aah nilikuwa najaribu uchuuzi wa akili za wabeba magunia ya mkaa na live chicken!! ila najua hadiriki hapo...lol!
Boss lakini anajidai kuvunga hapa tu asitengwe na kina Babu DC kaelekea mhongaji mashuhuri huyo. Keshawahi kusema katoa Black Berry ...:]]