OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuwa na viongozi haimaanishi wao wana akili kuliko sisi kwa sababu matokeo ya maamuzi yao yanaonekana hadharaniTanzania ina watu wa ovyo sana, unajikuta mjuaji kuliko viongozi na benchi zima la ufundi! Hivi Utopolo mnawashwa nini!?
Leo inabidi nikuunge mkono kwa hili umeongea point kubwa sanq.Kuwa na viongozi haimaanishi wao wana akili kuliko sisi kwa sababu matokeo ya maamuzi yao yanaonekana hadharani
Kwa uandishi huu hujui lolote kuhusu mpira.
Nilitaka nikupe sababu ya team kusafiri siku moja kabla ya mechi lakini baada ya kusoma lawama zako kwa Viongozi wa team na kocha Mgunda ambaye mpaka sasa ameongoza benchi la ufundi bila kupoteza mechi hata moja nikagundua kuwa wewe ni Utopolo mkosa akili.
Unaita Viongozi wapuuzi na lawama ambazo hazina mpango utadhani Simba SC ni wageni kwenye hii michuano ya CAF.
Mbona mambo ni rahisi tu, Wewe kapinganie ushinde uongozi pale kisha upange hiyo ratiba yako..!
Kumbe kuna watu mnapenda mpira lakini hamjui mpira hasa wa Afrika.
Unadhani Simba ni wapumbavu?
Wanajua wanachofanya,Angola sio Zambia wala Malawi.Angola ni nchi isiyotabirika kwa usalama.Timu ikiwahi wanaweza kufanyiwa uhuni ambao hukutarajia.
Acha kuandika kwa hisia tumia akili
Sio kila mtu anatakiwa ajue mbimu za timu, wengine mnatakiwa muwe washangiliaji na wanunua jezi tu... sasa zimetoka rasmi kuwa SIMBA ITAFIKA ANGOLA TAREHE 8 na ITACHEZA MECHI TAREHE 9. Niwaulize mashabiki wenzangu wa Simba, kwa ratiba hii tunatofauti gani na IHEFU Au NAMUNGO?
Simba ilienda Niger kucheza na USGN ya akina Victorien Adebayor siku moja kabla ya mechi, na ikapata sare ya 1-1 ugenini, ambayo iliwasaidia kuingia robo fainali. Kumbuka, hiyo ilikuwa ni hatua ya makundi. Usiishi kwa kukariri...Simba Tunakosa nini cha kutufanya tufike mapema Angola, tukajiandaa na kuzoea mazingira, kushusha pressure na kupata mashabiki “Wawili watatu” wakutushangilia?
Mwanamme mzima na ndevu zimekujaa unakuwa mwoga, nyie ndio mnaopigwa na wake zenu!Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Simba, na nimekuwa mfuatiliaji wa timu yangu pendwa ya Simba, lakini kuna muda inakosesha amani na kunikatisha tamaa ya kuendelea kuipa imani yangu.
Najihisi kupata ugonjwa wa moyo na hii timu. Nimekuwa nikifanya kila viongozi wa timu watakalo i.e kwenda uwanjani, kununua ticket na kuwanunulia marafiki zangu, kuchangia uwanja na kila mchango ambao Wanasimba tulipaswa kushiriki.
Ninalipia kadi za uanachama kwa wakati, ninanua jezi na kila bidhaa ya Simba itokayotoka kwa Vunja Bei, hadi nimekuwa nikijihisi niyafanyayo hayatoshi kuonesha mapenzi yangu kwa Simba. Naenda mbali na kuwafanyia hayo hayo marafiki zangu, lengo ni kuongeza motisha kwa timu.
Lakini viongozi wa Simba wamekuwa wakinikatisha tamaa wakiongozwa na Afisa Habari wetu ambaye ni “Muongo muongo”, “Mjanja mjanja” na “Mnafiki mnafiki”. Tukifungwa kujifanya kaumia sana na hayupo upande wa viongozi, tukishinda kujifanya yupo upande wa viongozi!
Kilichoniuma sana ni leo baada ya taarifa rasmi kuhusu maandalizi ya timu kuelekea kuikabili De Agosto ya Angola, hizi tetesi zilipita kwenye magroup ya Simba nikahisi ni uongo ila sasa zimetoka rasmi kuwa SIMBA ITAFIKA ANGOLA TAREHE 8 na ITACHEZA MECHI TAREHE 9. Niwaulize mashabiki wenzangu wa Simba, kwa ratiba hii tunatofauti gani na IHEFU Au NAMUNGO?
Kwa timu ambazo zipo siriazi (Serious) na Kombe la CAF zinaweza kika ugenini masaa kadhaa kabla ya Mechi? Simba Tunakosa nini cha kutufanya tufike mapema Angola, tukajiandaa na kuzoea mazingira, kushusha pressure na kupata mashabiki “Wawili watatu” wakutushangilia?
Kwa ukubwa walio nao De Agosto, kwa kikosi tulichonacho ambacho mwalimu wa timu amekiri bado kina mapungufu makubwa ya kiufundi ambao unachagizwa na saikolojia ya timu, kweli tunaenda Angola masaa kadhaa kabla ya mechi?
Mbona Zanzibar tulienda siku kadhaa kabla ya michezo ya kirafiki? Simba tunakosa nini kinachotufanya tufike Angola masaa kadhaa kabla ya mechi, na tuondoke mara baada ya mechi, kama siyo kuwachosha wachezaji kisaikolojia?
Tumesahau msimu uliyopita timu ndogo toka Bostwana ilitutoa (Jwaneng Galax), leo tuenda kupambana na miamba Ya Angola tunaenda masaa kadhaa kabla ya mechi? What a joke!
Kwasasa Simba Tunajivunia Hatua Ya Makundi sijui Robo Fainali hivi Yanga Msimu huu wakifikia Hiyo Hatua Tutaficha wapi sura zetu? Tutajivunia na Nini Cha Zaidi? Angalia timu za Kiarabu ambazo huwa Serious na Kombe hili zinavyo wahi kuondoka Makwao? AL hilal Kashaondoka Anajiandaa kuingia Tanzania. Kwa hili Limeniuma Sanaaa…. Sioni Matumaini Ya Simba Kufika Hatua Ya Makundi kwa Misimi Miwili Mfululizo….. kwa kutokuwa Serious na uendeshaji wa Timu.
Hatuwezi kukaa na kocha, hatuwezi kukaa na wachezaji, hatuwezi kusajiri, hatuwezi kutetea makombe, hatuna consistency ya ubora katika pitch. Yani tupo tupo kama watoto yatima, hakika inauma sana na kufedhehesha.
Ni wapongeze De Agosto kwa kuingia hatua ya makundi. Ni hayo tuuu…. Juma Mgunda, Matola na viongozi wapuuzi wa Simba hawezi kutufikisha popote. Tusamehe Mgunda tunakulaumua bure tuu, lakini UONGOZI WETU NI WA HOVYOOO SIJAPATA KUONA.
Kwa mara nyingine tena hongereni De Agosto kwa kuingia hatua ya makundi ya Kombe la CAF. [emoji120][emoji120]
Kuna shabiki,mwanachama na bendera fata upepoMimi ni shabiki kindaki ndaki wa Simba, na nimekuwa mfuatiliaji wa timu yangu pendwa ya Simba, lakini kuna muda inakosesha amani na kunikatisha tamaa ya kuendelea kuipa imani yangu.
Najihisi kupata ugonjwa wa moyo na hii timu. Nimekuwa nikifanya kila viongozi wa timu watakalo i.e kwenda uwanjani, kununua ticket na kuwanunulia marafiki zangu, kuchangia uwanja na kila mchango ambao Wanasimba tulipaswa kushiriki.
Ninalipia kadi za uanachama kwa wakati, ninanua jezi na kila bidhaa ya Simba itokayotoka kwa Vunja Bei, hadi nimekuwa nikijihisi niyafanyayo hayatoshi kuonesha mapenzi yangu kwa Simba. Naenda mbali na kuwafanyia hayo hayo marafiki zangu, lengo ni kuongeza motisha kwa timu.
Lakini viongozi wa Simba wamekuwa wakinikatisha tamaa wakiongozwa na Afisa Habari wetu ambaye ni “Muongo muongo”, “Mjanja mjanja” na “Mnafiki mnafiki”. Tukifungwa kujifanya kaumia sana na hayupo upande wa viongozi, tukishinda kujifanya yupo upande wa viongozi!
Kilichoniuma sana ni leo baada ya taarifa rasmi kuhusu maandalizi ya timu kuelekea kuikabili De Agosto ya Angola, hizi tetesi zilipita kwenye magroup ya Simba nikahisi ni uongo ila sasa zimetoka rasmi kuwa SIMBA ITAFIKA ANGOLA TAREHE 8 na ITACHEZA MECHI TAREHE 9. Niwaulize mashabiki wenzangu wa Simba, kwa ratiba hii tunatofauti gani na IHEFU Au NAMUNGO?
Kwa timu ambazo zipo siriazi (Serious) na Kombe la CAF zinaweza kika ugenini masaa kadhaa kabla ya Mechi? Simba Tunakosa nini cha kutufanya tufike mapema Angola, tukajiandaa na kuzoea mazingira, kushusha pressure na kupata mashabiki “Wawili watatu” wakutushangilia?
Kwa ukubwa walio nao De Agosto, kwa kikosi tulichonacho ambacho mwalimu wa timu amekiri bado kina mapungufu makubwa ya kiufundi ambao unachagizwa na saikolojia ya timu, kweli tunaenda Angola masaa kadhaa kabla ya mechi?
Mbona Zanzibar tulienda siku kadhaa kabla ya michezo ya kirafiki? Simba tunakosa nini kinachotufanya tufike Angola masaa kadhaa kabla ya mechi, na tuondoke mara baada ya mechi, kama siyo kuwachosha wachezaji kisaikolojia?
Tumesahau msimu uliyopita timu ndogo toka Bostwana ilitutoa (Jwaneng Galax), leo tuenda kupambana na miamba Ya Angola tunaenda masaa kadhaa kabla ya mechi? What a joke!
Kwasasa Simba Tunajivunia Hatua Ya Makundi sijui Robo Fainali hivi Yanga Msimu huu wakifikia Hiyo Hatua Tutaficha wapi sura zetu? Tutajivunia na Nini Cha Zaidi? Angalia timu za Kiarabu ambazo huwa Serious na Kombe hili zinavyo wahi kuondoka Makwao? AL hilal Kashaondoka Anajiandaa kuingia Tanzania. Kwa hili Limeniuma Sanaaa…. Sioni Matumaini Ya Simba Kufika Hatua Ya Makundi kwa Misimi Miwili Mfululizo….. kwa kutokuwa Serious na uendeshaji wa Timu.
Hatuwezi kukaa na kocha, hatuwezi kukaa na wachezaji, hatuwezi kusajiri, hatuwezi kutetea makombe, hatuna consistency ya ubora katika pitch. Yani tupo tupo kama watoto yatima, hakika inauma sana na kufedhehesha.
Ni wapongeze De Agosto kwa kuingia hatua ya makundi. Ni hayo tuuu…. Juma Mgunda, Matola na viongozi wapuuzi wa Simba hawezi kutufikisha popote. Tusamehe Mgunda tunakulaumua bure tuu, lakini UONGOZI WETU NI WA HOVYOOO SIJAPATA KUONA.
Kwa mara nyingine tena hongereni De Agosto kwa kuingia hatua ya makundi ya Kombe la CAF. [emoji120][emoji120]
Simba ilienda Niger kucheza na USGN ya akina Victorien Adebayor siku moja kabla ya mechi, na ikapata sare ya 1-1 ugenini, ambayo iliwasaidia kuingia robo fainali. Kumbuka, hiyo ilikuwa ni hatua ya makundi. Usiishi kwa kukariri
We ni mtopolo tu,huna maana yoyote!Usalama upi?, Ukomavu Ni Kuzikabiri Figisu Zozote zinazo kuja Mbele yako na Sio Kukimbia
Wapi nilipomtaja Mgunda?Mgunda Kafikia Airport kaenda Malawi kashinda Utasema Mgunda Ameisaidia Simba Kushinda? Ukocha Ni zaidi ya Ushindi ni Unaijengaje timu katika Kipindi Kigumu?
Wameishinda timu ya mwisho katika ligi, na pia tarehe 28/09/2022 walitoa sare nyumbani kwaoJuzi Tarehe 02/10/2022 wameshinda Mechi Ugenini Kwa Goli Moja Utasema Hawako Vizuri kiasi cha kurelax na Kwenda Masaa Kadhaa kabla ya Mechi?
Kwa hiyo tuutunze huu uzi wako, kuwa Simba itapoteza mechi kwa kuwa inakutana na timu kali kuliko hizo tulizokutana nazo, na pia imechelewa kufika Angola, au sio katibu?Kwa Timi Tulizo Kutana Nazo Hata Ahmed Ally angepewa Timi Angeshinda Mechi zote.