Jaman naomba kuuliza hv inaweza kuwa kweli kuugua nakupata dalili zinazofanana na ukimwi na mtu apime kila baada ya miez mitatu mara nne namaanisha mwaka mzima na matokeo kila kupima ni negative (HIV -VE) je huyo mtu atakuwa ni kweli hajaathirika au ni vipimo kushindwa kutoa ukweli, naomba wenye uelewa mnifafanulie asanteni.
kwanza jibu swali hili.Jaman naomba kuuliza hv inaweza kuwa kweli kuugua nakupata dalili zinafanana na ukimwi na apime kila baada ya miez mitatu mara nne namaanisha mwaka mzima na matokeo kila kupima ni negative (HIV -VE) je huyo mtu atakuwa ni kweli hajaathirika au ni vipimo kushindwa kutoa ukweli, naomba wenye uelewa mnifafanulie asanteni.
Ofcoz ametumia dawa za mitishamba nying ila cna ufahamu ni aina gan ya mitishambakwanza jibu swali hili.
JE AMEKUWA AKITUMIA DAWA ZA MITI SHAMBA?
NA NI AINA GANI YA HIYO MITI SHAMBA?
JE NI VIPIMO GANI VINGINE ULIVYOMPIMA TOFAUTI NA HIV? NA MATOKEO YALIKUWAJE?
JIBU MASWALI YOTE MKUU IWAPO KWWLI UNAHITAJI USHAURI SAHIHIOfcoz ametumia dawa za mitishamba nying ila cna ufahamu ni aina gan ya mitishamba
Nmepima hospitalin kilichopatikana vidonda vya tumbo, amoeba na minyoo ila kwenye vipimo vya computer ndo nkaambiwa et damu yangu imechafuka nikapewa dawa sikupata nafuu toka mwez wa nane mwaka jan mpk xaiv ndo hali inazd kuwa mbayaJIBU MASWALI YOTE MKUU IWAPO KWWLI UNAHITAJI USHAURI SAHIHI
Usihofu hayo magonjwa yanasumbua sana.Mimi ishanikuta hiyo. Wewe tafuta tu dawa nzuri ya amoeba na minyoo.Vidonda vya tumbo sina cha kukushauri maana hata mimi bdo nahangaikaNmepima hoWe we alin kilichopatikana vidonda vya tumbo, amoeba na minyoo ila kwenye vipimo vya computer ndo nkaambiwa et damu yangu imechafuka nikapewa dawa sikupata nafuu toka mwez wa nane mwaka jan mpk xaiv ndo hali inazd kuwa mbaya
Asanteh [HASHTAG]#dutu[/HASHTAG]Kama vipimo zaidi ya mara nne vimeonesha negative, definitely, itakuwa sio UKIMWI au Ugonjwa wa UKIMWI. Itakuwa ni tatizo jingine tu, Daktari inabidi afanye diagnosis ya kitu kingine kulingana na dalili ulizonazo, magonjwa ni mengi na mengi dalili huwa zinafanana.
Asanteh dutu nashukuru kwa ushauri wakoKama vipimo zaidi ya mara nne vimeonesha negative, definitely, itakuwa sio UKIMWI au Ugonjwa wa UKIMWI. Itakuwa ni tatizo jingine tu, Daktari inabidi afanye diagnosis ya kitu kingine kulingana na dalili ulizonazo, magonjwa ni mengi na mengi dalili huwa zinafanana.
Asanteh [HASHTAG]#dutu[/HASHTAG]
Mkuu hayo magonjwa yanaumiza sana.Tena yote kwanza yapo tumboni Mara uharishe; mara kichefuchefu; Mara homa. Yaani ni tafrani balaa. Kibaya zaidi hayapendi baridi sana hiyo ni uzoefu wangu.Pia labda mazingira uliyopo yanasababisha. Ukiangalia yote yanasababishwa na uchafu. Pengine unatumia dawa yanarudi.Asanteh nashukuru ila ni mateso.