Dalili...!!


sas kumbe jibu unalo ya nini kuzungusha watu vichwa
aaaaagrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!! some pipo bwana yak!!!!!!!!!!!!!!
 

tulia kwanza unyolewe ni zamu yako!!! si ulichukuia advantage upendo wake na uaminifu kwako........endelea kupoozea kwa kale ka small house till your marriage breaks irreparably!! nione kwa processes and procedures za divorce....
 
tulia kwanza unyolewe ni zamu yako!!! si ulichukuia advantage upendo wake na uaminifu kwako........endelea kupoozea kwa kale ka small house till your marriage breaks irreparably!! nione kwa processes and procedures za divorce....

Dah! We dada samahani, hivi una cheo gani jeshini?
 
Dah! We dada samahani, hivi una cheo gani jeshini?

heheee mi ni 'kuruta' tu mkuu!! (sijui hata spelling zake, hivo hivo tu utakuwa umenielewa
 
kumbe matatizo umeyaanza mwenyewe,wife kagundua wewe si mwaminifu ndo maana amefanya uamuzi mzuri wa kutumia protection,ni juu yako kurekebisha tofauti zenu sasa
 
sasa unalalamika kuwa ana tumia condom au what exactly is ur problem? atleast u r getting something... unabahati wewe...

Look (And I'm certain I've said this before) A man who cheats is the ultimate wh*re! Dealing with multiple fame-Wh*res! If he found a mistress thats "giving him the attention he needs" why look for others?:frown:
 
Kutumia condom ni dalili za kuchokwa? Je kumtumia mercury (Hg) kadi ya pasaka si kumchoka mtu? Kaka ikiwaka mulika; ikizima papasa. Ni zamu ya kupapasa mpendwa.
 
dalili ya kwanza kabisa atakuwa anafanya mambo yote kunyume na ilivyokuwa amini usiamin
 
sipendi wanaume aina yako. period

matatizo uanze wewe halafu unajifanya hujui, hovyoooooooooooooooooo!!
 
Mmm u love her alot na nyumba ndogo huishi?hilo la msg za easter ndilo tu.u are toast my dear.umemsaliti kabisa!
 


Kumbe umeharibu mwenyewe harafu unatafuta dalili kweli we mbaya ..ngoja hasira zake ziishe atakuwa amesha-make descion .....anza kufikiria maisha ya u-bachela tena.
 
kwa vile we ndo ulifumaniwa na vicard inabd mkapime ngoma na kumhakikishia hutarudia! huenda kikaeleweka
 
kwa vile we ndo ulifumaniwa na vicard inabd mkapime ngoma na kumhakikishia hutarudia! huenda kikaeleweka

aaah huyu hizo ction anazopewa ndo size yake!! alijifanya mjanja kuona mke kainama tu hakujua anatunga sheria!!
 
aaah huyu hizo ction anazopewa ndo size yake!! alijifanya mjanja kuona mke kainama tu hakujua anatunga sheria!!

Basi yatosha; muoneeni imani ! Anaweza kwenda kujinyonga bure kama ni mtu wa kule kwetu!
 
Dalili ya kwanza ambayo ulishaiona ni kuwa anakuwa hakuamini tena kwenye ushauri. Mwanamke ni mtu wa kuhitaji ushauri wa hapa na pale kama vile nivaeje, nipande maua gani, na viishu vidogodogo mitaani na kazini. Ukiona sasa ni mkimya na hajali kukuuliza kitu, Jua tayari ameshaanza....

Msaada ni kwamba try to bring new world unto her. Kumbuka dreams zake kwa mambo aliyokuwa anapenda kuja kuaquire baadae halafu we sassa anza kuwa siriazi na bize kama vile unamsaidia afikie ndoto zake. Ataanza kukutrust...
 

Yaaaaaaaaaaaaani wewe!!! Kumbe unajua chanzo, na sababu ya wifi kununa, nilifikiri ameanza tu from nowhere.
 

Mwite u'r small house, na mkeo akiwepo, mwambie aje na hile card ya Ester, uchane hile card mbele ya my wife wako, muombe mkeo msamaha mwambie hautakaa uludie na huyo small house mwambie akukome, wewe unaye anayekupa usingizi ambaye ndo huyo my wife wako kwa hiyo small house akukome kabisa. Husifanye kavu kavu bila mabusu moto moto hata kama ni ya kulazimisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…