Damas Ndumbaro atupwa jela ya soka miaka 7

Damas Ndumbaro atupwa jela ya soka miaka 7

Hawa waliotunga hii sheria ya mambo ya soka kutopeleka mahakamani walifanya makosa sana, manake viongozi wengi wa klabu, pamoja na mashirikisho ya mpira kote duniani wamekua wakifanya mizengwe kwa kuitegemea hii sheria, Naichukia sana hii sheria.

Mbona hukuichukia ilipombana Wambura? Sheria ni msumeno ni kama leo Ccm wanavyotkata viuno kwa kung'ang'ania sheria kandamizi na katiba mbovu ipo siku watatoka madarakani na sheria hizo zitatumika kuwafuta kwenye uso wa dunia.
 
Huyu wakili si ndo alimuidhinisha okwi kucheza simba kwa kesi ambayo haikuwepo mezani??
 
Ha ha ha.. What goes around comes around.. Leo u r with us.. Kesho kambi imebadilika.. Haya ni matokeo ya uendeshaji wa soka la bongo kwa fitina.. Na kamwe hatutaendelea kwa kuwa sasa soka imekuwa ni mradi wa kuwanufaisha walioko kwenye management ya uongozi wa mpira.. wawe TFF au kwenye vilabu.. Utajiuliza kwa mfano.. Kama Ndumbaro anadai alikuwa anawakilisha vilabu (na nilisoma kwenye magazeti na kusikia redioni vilabu vikipinga kwa nguvu zote makato hayo) kwanini leo vilabu hivyo vimkane badala ya kuungana nae kwenye kupinga kile walichokuwa wamekubaliana..?

Ndumbalo.. Ulitumika kimafia kumng'oa Wambura.. Haikuwa nzuri ile.. Ona sasa na wewe yamekudondokea yale yale..! Pole sana ila kumbuka kila muosha nae ataoshwa tu siku yake ikifika.. Hata kwa maji machafu.. Ataoshwa tuu..:wave:
 
Mimi sio kiongozi wa soka nitafungiwa wapi na kufanya nin?

Utapokuwa umepeleka mashitaka yako mahakamani... we ukumbuki juzi kati kule Nigeria kilichowapat? Yaani mkuu Deo waliponea chupu chupu kweli kweli mpaka yule mwenzao alivyoamua kuondoa shilingi .
 
Ha ha ha.. What goes around comes around.. Leo u r with us.. Kesho kambi imebadilika.. Haya ni matokeo ya uendeshaji wa soka la bongo kwa fitina.. Na kamwe hatutaendelea kwa kuwa sasa soka imekuwa ni mradi wa kuwanufaisha walioko kwenye management ya uongozi wa mpira.. wawe TFF au kwenye vilabu.. Utajiuliza kwa mfano.. Kama Ndumbaro anadai alikuwa anawakilisha vilabu (na nilisoma kwenye magazeti na kusikia redioni vilabu vikipinga kwa nguvu zote makato hayo) kwanini leo vilabu hivyo vimkane badala ya kuungana nae kwenye kupinga kile walichokuwa wamekubaliana..?

Ndumbalo.. Ulitumika kimafia kumng'oa Wambura.. Haikuwa nzuri ile.. Ona sasa na wewe yamekudondokea yale yale..! Pole sana ila kumbuka kila muosha nae ataoshwa tu siku yake ikifika.. Hata kwa maji machafu.. Ataoshwa tuu..:wave:

Mkuu sosoliso wajua , #ndumbalo Alijua ndo mahala pa kupatia kiki nyingine baada ya kufanikiwa kupata kiki ya uchaguzi wa Simba
 
Last edited by a moderator:
TFF ni genge la wezi na matapeli waliojificha kwenye kivuli cha soka
 
sasa kama vilabu vimemkana, inamaanisha vimekubali kukatwa 5%??
Kama wale wa zenji wanapiga kelele Kyle kwao wanataka nchi yao,wakienda dim wanaufyata,unadhan kina akilimali watashindwa?
 
Mimi sio kiongozi wa soka nitafungiwa wapi na kufanya nin?

Utafungiwa kutojihusisha na maswala ya soka maisha yako yote.

Ndumbaro ni wakili subiri uone kama atathubutu kwenda mahakamani sanasana labda akate rufaa CAS FIFA.
 
Huyu wakili si ndo alimuidhinisha okwi kucheza simba kwa kesi ambayo haikuwepo mezani??

Kama ulikuwepo vile MKUU cnjona ...na baada ya hapo kaibuka na swaga ya kutaka kuongoza kura ya kutokuwa na imani na Rais wa TFF
 
Last edited by a moderator:
Utafungiwa kutojihusisha na maswala ya soka maisha yako yote.

Ndumbaro ni wakili subiri uone kama atathubutu kwenda mahakamani sanasana labda akate rufaa CAS FIFA.

Huo ndio ukweli wenyewe mkuu carton ... wakili ndumbalo mambo ya ngoswe muachie ngoswe .
 
Last edited by a moderator:
sasa kama vilabu vimemkana, inamaanisha vimekubali kukatwa 5%??

Itakuwa ndio hivyo mkuu cnjona , we si umeona kutakuwa na mkutano tareh18 asubuhi na TFF kuweka mizani sawia, na endapo vilabu vimegwaya na kumuachia jumba bovu ndumbalo peke yake vitakuja kuumbuka huko mbeleni tuendako kabla ligi haijaisha.
 
Last edited by a moderator:
FIFA na wanachama wake ni genge la wahuni,walafi na wala rushwa waliojitengenezea uzio hili waendeleze uozo wao bila kuguswa.
 
Back
Top Bottom