Damas Ndumbaro atupwa jela ya soka miaka 7

FIFA na wanachama wake ni genge la wahuni,walafi na wala rushwa waliojitengenezea uzio hili waendeleze uozo wao bila kuguswa.
Mimi huwa najiuliza hivi, hawa waliotunga sheria ya mambo ya soka kutopeleka mahamani waliwaza nini!!! au waliweka hii sheria ili waendelee kufanya mizengwe kwenye soka kwa ajili ya maslahi yao??? Hii sheria iangaliwe upya vinginevyo itakuwa inatumiwa vibaya na mashirikisho ya kandanda kote duniani kwa kuitegemea sheria hii.
 
TFF = Mume
Vilabu = Mke
Ligi=Ndoa
Ndumbaro=Jirani
Kamwe usiingile ugomvi wana ndoa tena ya Kikristo utaumbuka,kaka Ndumbaro kamtetea bibie hapo asidundwe na mumewe aya sasa bibie amemkana anasema yeye AKATWE tu tena mara 5.
Ukistaajabu ya Mzee Thitaaa(6) utayaona ya Ndumbaro.
 
Tumerudi pale pale kwenye migogoro TFF

Who is Ndumbaro? Hakuna mgogoro wowote aende akafanye kazi za uwakili mahakamani asituletee njaa zake hapa, na ule uwakala wake wa wachezaji pia hatohusika tena ndio ajuwe raha ya fitna.
 

Sheria haina tatizo lolote, pale Geneva uswiss watu wa mpira tuna mahakama yetu inaitwa CAS ukihisi huku chini umeonewa unakata rufaa pale hata Wambura alikata rufaa pale na FIFA ikaagiza mchakato wa uchaguzi TFF uanze upya.

Najuwa kwa nini mnazipenda hizi mahakama zetu maana mnajuwa mahakimu wenyewe ni kina Nyamlani, mtu darasa la 4 anaweza kutumiwa kufunguwa kesi kusimamisha ligi au uchaguzi. FIFA waliona mbali sana.
 
FIFA na wanachama wake ni genge la wahuni,walafi na wala rushwa waliojitengenezea uzio hili waendeleze uozo wao bila kuguswa.

Ina maana hadi TFF na BMT ni GENGE la wahuni ? Mkuu Kabembe tunakuomba ututake radhi wana soka kisha ndio tuendelee.
 
Last edited by a moderator:
Tumerudi pale pale kwenye migogoro TFF

Yatakwisha tu..... kwani mie mtu nilipata wasi wasi sana na hata namna mkulu wa kaya wa #TFF alivyoingia madarakani , nilihisi tu kuwa hili zimwi linaweza tunyemelea sana tusipokuwa Makini. na kweli limenza kuparura soka letu.
 

Mkuu umeshusha vina kama vile ulikuwa umeshiba bugger za kwenye migahawa ya McDonald , hongera kwa kutuelimisha.
 
Last edited by a moderator:
Alimwizinisha Okw leo wamemwaga
 

Yaani soka lina mahakama yake ya kisoka soka kama ilivyo the HAGue AU GACHACHA ...na katika soka inaitwa cas , hivyo masuala ya Kisutu hayatakiwi katika soka mkuu Mlokaj
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mkuu ngoja nifanye jitihada za kumleta hapa cas aweze kufafanua baadhi ya hoja za wadau wa soka la Bongo.

Toka apate urais kaikimbia JF wakati ndiyo iliyo mwezesha awe madarakani au anatumia ID za pori?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…