Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
My take: Hivi siasa ina undugu na uongo? Si ni huyu Ndumbaro aliyefungiwa na Malinzi akitetea haki za vilabu kwenye suala la haki za matangazo? Yamemkuta yapi? Au ndo Siasa?
Ndugu yangu Amri Kiemba akashindwa kukaa na duku duku yeye akaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Hapa chini Wachezaji wa Majimaji wakipata Lunch yao, halafu Ndumbaro anatuambia habari za uzalendo.