Damas Ndumbaro huaminiki, Ukweli kuhusu 50% ya Watanzania wasioijua Katiba ni upi?

Damas Ndumbaro huaminiki, Ukweli kuhusu 50% ya Watanzania wasioijua Katiba ni upi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2023-08-29-13-58-07-1.jpg


Mh Damas Ndumbaro ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria , ametamka hadharani kwamba zaidi ya 50% hawaijui Katiba ya sasa , Kwa tafsiri ya Kawaida ni kwamba zaidi ya nusu ya Wananchi hawaijui Katiba yao .

Kumuamini Ndumbaro kunahitaji roho ngumu iliyojaa Ujasiri wa kutukuka , Ndumbaro amewahi kuwa Wakala wa wachezaji wa FIFA , ambaye alifungiwa kushiriki masuala ya soka na Wachezaji kwa muda usiojulikana kwa UDANGANYIFU NA UTAPELI, tunawezaje kumuamini mtu huyu ?

Tanzania kuna watu wazima , Vijana na watoto , hawa ndio wanaounda 100% ya raia wote , na humo wamo ambao kwa umri wao na utoto wao kwa namna yoyote ile hawawezi kujua lolote lile kuhusu Katiba ya nchi , hawa nao wamo kwenye hiyo 50% ya wasioifahamu Katiba ya sasa?

Hata kama Waziri anatunga Uongo ili kuikwepa Katiba Mpya kwa lengo la kuokoa ccm , basi Ajitahidi kuupaka rangi uongo wake , kama kweli watanzani wote hao hawajui Katiba yao basi athibitishe namna alivyokokotoa hesabu hiyo ndani ya siku mbili au tatu za kuandaa huo uongo wake , alimhoji nani na yupi , wapi na lini ? aweke ushahidi mezani tuuone.

Hivi waliompa Uwaziri wa Sheria Ndumbaro walizingatia vitu gani ? mbona ni mwepesi sana ! ccm haina watu wengine wenye weledi hadi kutafuta mtu mwenye makandokando kama huyu , asiyejua juzi na jana aliongea nini ? huyu huyu aliwahi kudanganya kwamba Mchakato wa Katiba mpya utaanza Septemba (Ushahidi uko humu jf) , wakati akiyasema haya hawa Watanzania Mbumbumbu wa Katiba walikuwa % ngapi ?

Naomba nifupishe kwa kusema hivi KATIBA MPYA NI SASA na wala si baada ya miaka mitatu anayoitaka Ndumbaro na waliomtuma , PATACHIMBIKA .
 
M naona kaweka % ndogo sana,
Waulize watu hapo mtaani kwenu, wakutajie majukumu 5 ya bunge, uone watu ambavyo hawaijui,

Au waulize tu wataje mambo 7 ya Muungano ni yepi ? Katika 10 am sure unaweza usipate hata 2 wataojibu sawa
 
View attachment 2732418

Mh Damas Ndumbaro ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria , ametamka hadharani kwamba zaidi ya 50% hawaijui Katiba ya sasa , Kwa tafsiri ya Kawaida ni kwamba zaidi ya nusu ya Wananchi hawaijui Katiba yao .

Kumuamini Ndumbaro kunahitaji roho ngumu iliyojaa Ujasiri wa kutukuka , Ndumbaro amewahi kuwa Wakala wa wachezaji wa FIFA , ambaye alifungiwa kushiriki masuala ya soka na Wachezaji kwa muda usiojulikana kwa UDANGANYIFU NA UTAPELI, tunawezaje kumuamini mtu huyu ?

Tanzania kuna watu wazima , Vijana na watoto , hawa ndio wanaounda 100% ya raia wote , na humo wamo ambao kwa umri wao na utoto wao kwa namna yoyote ile hawawezi kujua lolote lile kuhusu Katiba ya nchi , hawa nao wamo kwenye hiyo 50% ya wasioifahamu Katiba ya sasa?

Hata kama Waziri anatunga Uongo ili kuikwepa Katiba Mpya kwa lengo la kuokoa ccm , basi Ajitahidi kuupaka rangi uongo wake , kama kweli watanzani wote hao hawajui Katiba yao basi athibitishe namna alivyokokotoa hesabu hiyo ndani ya siku mbili au tatu za kuandaa huo uongo wake , alimhoji nani na yupi , wapi na lini ? aweke ushahidi mezani tuuone.

Hivi waliompa Uwaziri wa Sheria Ndumbaro walizingatia vitu gani ? mbona ni mwepesi sana ! ccm haina watu wengine wenye weledi hadi kutafuta mtu mwenye makandokando kama huyu , asiyejua juzi na jana aliongea nini ? huyu huyu aliwahi kudanganya kwamba Mchakato wa Katiba mpya utaanza Septemba (Ushahidi uko humu jf) , wakati akiyasema haya hawa Watanzania Mbumbumbu wa Katiba walikuwa % ngapi ?

Naomba nifupishe kwa kusema hivi KATIBA MPYA NI SASA na wala si baada ya miaka mitatu anayoitaka Ndumbaro na waliomtuma , PATACHIMBIKA .

Mkuu Erythrocyte Kwa nchi zinazofuata na kuitii sheria na Demokrasia.
Ndumbaro hakustahili kuwa Public Servant sababu tayari alikwisha chafuka kwa kashfa ya Rushwa na kufungiwa na FIFA.
Ni Tanzania pekee unakutana na huu upuuzi.

Kwamba orodha hii bado inaendelea kuwepo kwenue utumishi wa Umma.
Mwigulu Nchemba.
January Makamba.
Makame Mbarawa
Nape Nnauye.
Damas Ndumbaro.
Abdurahman Kinana.

Hii mi sawa na kuamini kabisa kwamba ....
Idadi kubwa ya walio gungwa magerezani ndio walistahili kuwa huru na walioko kwenye Ma-V8 uraiani ndio walistahili kuwa Magerezani.
 
View attachment 2732418

Mh Damas Ndumbaro ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria , ametamka hadharani kwamba zaidi ya 50% hawaijui Katiba ya sasa , Kwa tafsiri ya Kawaida ni kwamba zaidi ya nusu ya Wananchi hawaijui Katiba yao .

Kumuamini Ndumbaro kunahitaji roho ngumu iliyojaa Ujasiri wa kutukuka , Ndumbaro amewahi kuwa Wakala wa wachezaji wa FIFA , ambaye alifungiwa kushiriki masuala ya soka na Wachezaji kwa muda usiojulikana kwa UDANGANYIFU NA UTAPELI, tunawezaje kumuamini mtu huyu ?

Tanzania kuna watu wazima , Vijana na watoto , hawa ndio wanaounda 100% ya raia wote , na humo wamo ambao kwa umri wao na utoto wao kwa namna yoyote ile hawawezi kujua lolote lile kuhusu Katiba ya nchi , hawa nao wamo kwenye hiyo 50% ya wasioifahamu Katiba ya sasa?

Hata kama Waziri anatunga Uongo ili kuikwepa Katiba Mpya kwa lengo la kuokoa ccm , basi Ajitahidi kuupaka rangi uongo wake , kama kweli watanzani wote hao hawajui Katiba yao basi athibitishe namna alivyokokotoa hesabu hiyo ndani ya siku mbili au tatu za kuandaa huo uongo wake , alimhoji nani na yupi , wapi na lini ? aweke ushahidi mezani tuuone.

Hivi waliompa Uwaziri wa Sheria Ndumbaro walizingatia vitu gani ? mbona ni mwepesi sana ! ccm haina watu wengine wenye weledi hadi kutafuta mtu mwenye makandokando kama huyu , asiyejua juzi na jana aliongea nini ? huyu huyu aliwahi kudanganya kwamba Mchakato wa Katiba mpya utaanza Septemba (Ushahidi uko humu jf) , wakati akiyasema haya hawa Watanzania Mbumbumbu wa Katiba walikuwa % ngapi ?

Naomba nifupishe kwa kusema hivi KATIBA MPYA NI SASA na wala si baada ya miaka mitatu anayoitaka Ndumbaro na waliomtuma , PATACHIMBIKA .
Kwa kuanzia, WEWE WEWE hapo ulipo huijui katiba la sivyo ungetoa namba yako. Mie nadhani 80% hawaijui katiba yetu, walewale waliosema hawataki vurugu la vyama vingi.
 
Mkuu Erythrocyte Kwa nchi zinazofuata na kuitii sheria na Demokrasia.
Ndumbaro hakustahili kuwa Public Servant sababu tayari alikwisha chafuka kwa kashfa ya Rushwa na kufungiwa na FIFA.
Ni Tanzania pekee unakutana na huu upuuzi.

Kwamba orodha hii bado inaendelea kuwepo kwenue utumishi wa Umma.
Mwigulu Nchemba.
January Makamba.
Makame Mbarawa
Nape Nnauye.
Damas Ndumbaro.
Abdurahman Kinana.

Hii mi sawa na kuamini kabisa kwamba ....
Idadi kubwa ya walio gungwa magerezani ndio walistahili kuwa huru na walioko kwenye Ma-V8 uraiani ndio walistahili kuwa Magerezani.
Noma sana
 
Kwa kuanzia, WEWE WEWE hapo ulipo huijui katiba la sivyo ungetoa namba yako. Mie nadhani 80% hawaijui katiba yetu, walewale waliosema hawataki vurugu la vyama vingi.
Namba yangu ya nini ? Hivi mnadhani mnaweza kuua kila mtu ?
 
Huyu Waziri simuelewi baada ya kusikiliza alivyokuwa anapigilia Misumari kesi ya kina Mwabukusi. Eti wameshtakiwa Kwa kosa la Uhaini😭😭
 
View attachment 2732418

Mh Damas Ndumbaro ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria , ametamka hadharani kwamba zaidi ya 50% hawaijui Katiba ya sasa , Kwa tafsiri ya Kawaida ni kwamba zaidi ya nusu ya Wananchi hawaijui Katiba yao .

Kumuamini Ndumbaro kunahitaji roho ngumu iliyojaa Ujasiri wa kutukuka , Ndumbaro amewahi kuwa Wakala wa wachezaji wa FIFA , ambaye alifungiwa kushiriki masuala ya soka na Wachezaji kwa muda usiojulikana kwa UDANGANYIFU NA UTAPELI, tunawezaje kumuamini mtu huyu ?

Tanzania kuna watu wazima , Vijana na watoto , hawa ndio wanaounda 100% ya raia wote , na humo wamo ambao kwa umri wao na utoto wao kwa namna yoyote ile hawawezi kujua lolote lile kuhusu Katiba ya nchi , hawa nao wamo kwenye hiyo 50% ya wasioifahamu Katiba ya sasa?

Hata kama Waziri anatunga Uongo ili kuikwepa Katiba Mpya kwa lengo la kuokoa ccm , basi Ajitahidi kuupaka rangi uongo wake , kama kweli watanzani wote hao hawajui Katiba yao basi athibitishe namna alivyokokotoa hesabu hiyo ndani ya siku mbili au tatu za kuandaa huo uongo wake , alimhoji nani na yupi , wapi na lini ? aweke ushahidi mezani tuuone.

Hivi waliompa Uwaziri wa Sheria Ndumbaro walizingatia vitu gani ? mbona ni mwepesi sana ! ccm haina watu wengine wenye weledi hadi kutafuta mtu mwenye makandokando kama huyu , asiyejua juzi na jana aliongea nini ? huyu huyu aliwahi kudanganya kwamba Mchakato wa Katiba mpya utaanza Septemba (Ushahidi uko humu jf) , wakati akiyasema haya hawa Watanzania Mbumbumbu wa Katiba walikuwa % ngapi ?

Naomba nifupishe kwa kusema hivi KATIBA MPYA NI SASA na wala si baada ya miaka mitatu anayoitaka Ndumbaro na waliomtuma , PATACHIMBIKA .
Hii katiba ya chama kimoja ya ccm ya kazi gani kuijua,walikua wapi kutoa elimu tangu mwaka 1977 wanangojea uchaguzi umesigea nakuja na vitimbwi ili waibe kura.
 
Kwahiyo katiba ya mwaka 77 ilipatikana baada ya wananchi wote kuelewa katiba ya hapo awali?

Hawa wajinga bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, wataendelea na hizo danadana zao za kipuuzi.
 
Kwahiyo katiba ya mwaka 77 ilipatikana baada ya wananchi wote kuelewa katiba ya hapo awali?

Hawa wajinga bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, wataendelea na hizo danadana zao za kipuuzi.
Una hoja
 
Kwahiyo katiba ya mwaka 77 ilipatikana baada ya wananchi wote kuelewa katiba ya hapo awali?

Hawa wajinga bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, wataendelea na hizo danadana zao za kipuuzi.
Niliwahi kuandika hapa mara nyingi tu kwamba katiba huwa haipatokani kwa maneno matupu. Lazima damu imwagike indipo iandikwe.

Ccm ni kama mbuzi hivyo ni ngumu kwa mbuzi kunoa kisu kwa ajili ya kumchakatia mwenyewe kuwa supu.
 
Niliwahi kuandika hapa mara nyingi tu kwamba katiba huwa haipatokani kwa maneno matupu. Lazima damu imwagike indipo iandikwe.

Ccm ni kama mbuzi hivyo ni ngumu kwa mbuzi kunoa kisu kwa ajili ya kumchakatia mwenyewe kuwa supu.
Uko sahihi mno. Hizo blabla sijui za majadiliano huku watu wakiwa wamevaa masuti bila makovu, itakuwa kupotezeana muda. Inatakiwa wakati wa mjadala wa katiba mpya watu wengine tuwe kaburini, mtakaobaki muwe na plasta usoni, wengine chongo, vilema nk, hapo itaandikwa katiba ya kweli ya wananchi.
 
Inatakiwa wakati wa mjadala wa katiba mpya watu wengine tuwe kaburini, mtakaobaki muwe na plasta usoni, wengine chongo, vilema nk, hapo itaandikwa katiba ya kweli ya wananchi.
Swadaktaaa! Siyo katiba inaandikwa wakati wanakula kuku kwa mrija.
 
Kabla ya katiba hii mbovu huko nyuma mlielimisha wangapi ndio mkapata hii mliyonayo sasa ?
Na hiyo elimu wataitoa kwa njia gani? Kwenye mikutano au wataanzisha madarasa?
Na watapima vipi kama watu wameelewa?!
Inaelekea nia yao, uchaguzi wa 2025 ufanyike kwa kutumia hii Katiba mbovu.
 
Na hiyo elimu wataitoa kwa njia gani? Kwenye mikutano au wataanzisha madarasa?
Na watapima vipi kama watu wameelewa?!
Inaelekea nia yao, uchaguzi wa 2025 ufanyike kwa kutumia hii Katiba mbovu.
Kwa taarifa nilizonazo moto utawaka
 
Back
Top Bottom