Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Kuna wanafiki ndio watashindwa, tulisha wambia sio kila abaye ana sema Allahu Akbar ni Muislam, hata wewe unatype Allahu Akbar. We si wakanisa la Shetan mlisha muonoa shetani kanisani au bado?Safari hii wote wanasema Allah Akbar sasa sijui Allah atasimama upande gani wa Sunni au wa Shia?! Ngoma mbichi.
Israel. wakumuamini hahaha alisema Hezbullah kisha ifuta kumbe anapiga civilian tu, hizo ndege huwa hazipigi silaha zinapiga majumba tu.Hujasikia kuwa Ndege za Israel zimewashambulia Hezbola huko Syria na wengi wameuwawa?!
Sijui unaongea nini?!Kuna wanafiki ndio watashindwa, tulisha wambia sio kila abaye ana sema Allahu Akbar ni Muislam, hata wewe unatype Allahu Akbar. We si wakanisa la Shetan mlisha muonoa shetani kanisani au bado?
Biblia inasema kiti cha Enzi cha shetani kipo kanisani ( ufunuo 2 - 12 - 13 ) makao makuu ya shetani ni ndani kanisani.
Ni bora ungeomba Source kuliko kupayuka.Israel. wakumuamini hahaha alisema Hezbullah kisha ifuta kumbe anapiga civilian tu, hizo ndege huwa hazipigi silaha zinapiga majumba tu.
Israel. wakumuamini hahaha alisema Hezbullah kisha ifuta kumbe anapiga civilian tu, hizo ndege huwa hazipigi silaha zinapiga majumba tu.
Hahaha kwamba wameomba ceasefire sio? Waasi wenyewe walisubiri hezb ipunguzwe nguvu kwani hawawajui? Subiri kazi ya counter offensive ya Wanaume wa hizbollah wajomba Hata wakiwa wawili TU huwa hawarudi nyuma either kifo au wakushindeHizbullah Hawa Hawa waliowatelekeza Hamas kwa kuomba ceasefire? Au unaongelea Hizbullah wa kizimkazi?
Mnafiki ni yupi Shia au Sunni?!Kuna wanafiki ndio watashindwa
Ngoja Dubu ajee. The RussianHabari za hivi punde zinadai,Wapiganaji wa HTS ambao wanasadikika kuungwa mkono na nchi ya Uturuki, wameuzingira mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA kusini Magharibi mwa nchi hiyo. Mji huo upo umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa Damascus.
Ikumbukwe kuwa, Wiki iliyopita, Waasi hao walifanya mashambulizi ya kushitukiza na kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo.
Jeshi la anga la Syria (SAA) likisaidiwa na ndege za kivita za Urusi zilishambulia mji wa IDLIB ambao ulikuwa ngome kuu ya wapiganaji hao tangu mwaka 2015. Hata hivyo, Mashambulizi hayo yanaonesha kutowarudisha nyuma waasi hao.
Endapo mji wa HAMA utadhibitiwa na waasi hao,Basi watakuwa umbali wa Kilometa 78 kutoka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS na umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa DAMASCUS.
Hata hivyo,Waziri wa Mambo ya nje wa Iran ameilaani Marekani na Israel kwa kushambulia msafara wa Wapiganaji kutoka Iraq waliokuwa wanakwenda kuisaidia jeshi la Syria kupigana vita vya Ardhini na waasi hao.
Uturuki imeitaarifu Urusi kuacha kutumia ndege zake kuwashambulia Raia lasivyo Uturuki itapeleka Mifumo ya Ulinzi wa Anga Kasikazini mwa Syria ili Kuziangusha ndege za Urusi na Syria ambazo zinafanya mashambulizi hayo.
Source: Aljazeera
: Dw English
Sio mala y kwanza Israel kubomoa ilo Daraja lkn kila kitu kitakuwa kama kilivo pangwa lkn wejamaaa unaongoza kwa uwongo kwenye UZI uwe na naibu kidogo.View attachment 3170591
Daraja kwenye mpaka wa Syria na Lebanon limeshambuliwa na Ndege za Israel ili kukata mawasiliano baina Ayatolah na Hezbola 🤣
It's now or never kwa Wanamgambo wa Kisunni wauzunguke Mji wa Homs wafanye Siege halafu wakaishambulie Damascus.
We akili zako za kitoto sana we unadhani Hezbullah anatumia barabara za kupita madaraja 😆 😂View attachment 3170591
Daraja kwenye mpaka wa Syria na Lebanon limeshambuliwa na Ndege za Israel ili kukata mawasiliano baina Ayatolah na Hezbola 🤣
It's now or never kwa Wanamgambo wa Kisunni wauzunguke Mji wa Homs wafanye Siege halafu wakaishambulie Damascus.
We unachekesha sana kama unadhani kuvunja madaraja yatazuia Hezbullah kwenda Syria.Ni bora ungeomba Source kuliko kupayuka.
See....sheikh wangu ilimu ni muhimu. Zote Duniya na akhera. Ungepata hizo ungegundua hii si lugha mujarab kwa jamii iliyostaarabika. Huwa kamwe hatuongei hiviOya mbona kama vile unawashwa na comment zangu au unahitaji kukunwa?
Ndani 1week uyo utasikia anazikwa. Russai anawazoom kila kituMkuu wa Waasi wa Kisunni Kamanda Abu Mohamed Al Jolani kaamua kubadilisha muonekano wake kapunguza kuvaa Vilemba na Kanzu kaamua kuupunguza na Mzuzu kaamua kuvaa kawaida.
View attachment 3170608
Before muonekano wa Kigaidi.
View attachment 3170609
After amepiga Pamba za Kimagharibi na hana muonekano wa kutisha.
Assad amekalia kuti kavu ni wakati wa Iran kuwapeleka IRGC huko waokoe jahazi.BREAKING NEWS
Waasi wa HTS wamekaribia kuuteka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS. Waasi wapo umbali wa Kilometa 5 kutokea katikati mwa mji huo.
Wapiganaji wa Kishia kutoka Iraq na Lebanon wakishirikiana na Wanajeshi wa Syria wamefanikiwa kwa kiasi kuwazuia waasi hao kuuteka mji wa HOMS. Hata hivyo, Mashambulizi ya Anga Makali ya Marekani na Israel dhidi ya Wapiganaji wa Kishia na ngome zao inadhoofisha uwezo wa jeshi la Syria na Washirika wao kupambana na Waasi.
Ndege 3 za Urusi aina ya Mig zimerushiwa Risasi za Onyo na Majeshi ya Uturuki. Urusi imelaani tukio hilo.
Waasi wa HTS wamefanikiwa kuiteka kambi ya jeshi la Syria ya Al-Fahdi iliyokuwa Kilometa 16 kutoka mji wa HOMS. Ndege 2 aina ya Mig zimetekwa na waasi hao zikiwa zimeharibiwa na kutokuweza kutumika.
View: https://youtu.be/BlKGcYu2Oec?si=hAc4JDOE5bCZm4OZ
Hata mi naona kinachotokea ndio yale yale ya Assad na urusi kutumiaUzuri vita haitapigwa siku moja au wiki moja bali ni muda mrefu sasa hapa itategemeana na mwenye pumzi ndefu.
Acha waasi waendelee kufurahia honeymoon Russia anavyopigana Ukraine na Syria ni tofauti kabisa nahofia uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu hapo Syria.
Russia hapo Syria ni kama hana anacho hofia au jamii anayo ionea huruma.
Hapo Syria hamna ndugu zake warusi kama huko Ukraine useme atakuwa na ka chambe ka huruma.
Napata hofu kwa yanayo enda kutokea hapo Syria labda kama Russia aamue kumtupa Assad japo sina hakika sana.