GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kwi kwi kwi bado tehranAssad alikua mzembe sana hata kuleta upinzani hamna kabisa yaan anataka Urusi na Iran wapiganie kwa ajili yake kweli hata yeye kufurukuta hamna? Yaan kenya ivamiwe wakafe JW? Yule babu ata kama msaada hio haipo, hapo wabadili gia angani anaeshinda ndio huyo huyo wakuunga mkono
Shida kuu nini myahudi au waasi 🤣🤣Unaweza kujitoa kwa mtu ambae hasikilizi maelekezo?. Toka mwanzo aliambiwa ashikilie hama Urusi anashikilia Assad anarudi nyuma sasa nani apigane kwa ajili yake? Mtihani unaanzia hapo
Mpaka namuonea huruma.Dah unaongea kwa uchungu sana ndugu yangu
Hilo unalo lisema linawezakana sana maana binadamu sio wa kumwamini 100%. Ila kwa muda Israeli atakuwa kapumua kiasi.Huyu jamaa Israel wasimuamini sana anaweza kuja kuwasumbua wakaona afadhali ya Assad
Ni mkwamo tu.Hao jamaa Kila mmoja ana tafsiri yake huwa hawaeleweki kabisa.
Mngekuwa mnawalaumu na Hamas na Hezbola hivyo hivyo Amani ingetamalaki.Unaweza kujitoa kwa mtu ambae hasikilizi maelekezo?. Toka mwanzo aliambiwa ashikilie hama Urusi anashikilia Assad anarudi nyuma sasa nani apigane kwa ajili yake? Mtihani unaanzia hapo
Ukiona Sergei Lavrov mwenyewe kasema hivyo basi ujie Game Over!😆😁
Hizo ndoto za makafiri ambao ni wakristo na wayahudi zitafanikiwa kwa temporary tu sababu Allah anapima iman za waislam. Kule Gaza msahau wale wanaume imani ipo juu, we huoni hakuna silaha haikutumiwa pale lakini wanaume wapo kazini.Mwanangu jews ni nouma. Hapo kaua ndege watatu kwa jiwe moja. hapo mizizi yote ya Iran inaenda kufyekwa. Baada ya hapo wanatumiwa hao hao magaidi kuwamaliza hezbollah then wanahamia hapo Yemen kinanukishwa hivyo hivyo then wanaume wanamalizia hapo Tehran. Nawaonea huruma palestina maana kuwa na nchi yao ndio bye bye. Waarabu wanaingia mkataba na Israel biashara imeisha. Hutaki jinyonge.
Umewaza kama mm lkn Assad atoki pale.Huyu jamaa Israel wasimuamini sana anaweza kuja kuwasumbua wakaona afadhali ya Assad
Ngoma inogileMPYA;Wakuu kundi kubwa la Waasi limetoka Mji wa Deraa linaelekea Damascus kumaliza Mchezo
Assad is Finished so is Ayatolah's Corridor 😁😆
Super power katupa tauloUkiona Sergei Lavrov mwenyewe kasema hivyo basi ujie Game Over!😆😁
Nina uchungu kweli nimesikitishwa sana na waislam wa kiarabu, lakini wakati mwingine bora afadhali kuliko potelea mbali sijui kama hawa jamaa wakiikamata Syria middle east machafuko hayataisha ni wakorofi na wahuni kweliDah unaongea kwa uchungu sana ndugu yangu