stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Mwisho wa vita moja ni mwanzo wa vita nyingine
Nimefurahi kuona Iran amerudishwa Nyuma, Now IRGC watabidi wafanye kazi zao wakiwa Iraq na Lebanon hawatapata tena Silaha hadi ushirikiano wao Na Kobazi wengine uimarike.
What next, Uturuki anaenda kuwa Kiranja wa Waarabu na Wanamgambo wake wapya wanaenda kuwa mpakani mwa Israel, hii ni changamoto mpya,
Effect ya kuanguka kwa Assad kutachochea vuguvugu la Wassuni na Muslim brotherhood kwenye Mataifa mengine ya kiarabu linaweza kukua sana.
Russia asikubali kupoteza kambi zake za Kijeshi Syria, in short asifanye mambo kama punga, badala yake aforce Syria igawanywe kimafungu, ataungwa Mkono na Israel, Iran(atakubali fedaration ambayo Wakurd watakuwa huru bila nchi), USA, Wakurd, Waarabu wa Kidruze, Kikristo na mataifa mengi ya Ulaya na Yenye nguvu, Chawa wa Russia nao wakubali hii proposal, Atapingwa na Mataifa yote ya Kissuni, yakiongozwa na Uturuki
Nimefurahi kuona Iran amerudishwa Nyuma, Now IRGC watabidi wafanye kazi zao wakiwa Iraq na Lebanon hawatapata tena Silaha hadi ushirikiano wao Na Kobazi wengine uimarike.
What next, Uturuki anaenda kuwa Kiranja wa Waarabu na Wanamgambo wake wapya wanaenda kuwa mpakani mwa Israel, hii ni changamoto mpya,
Effect ya kuanguka kwa Assad kutachochea vuguvugu la Wassuni na Muslim brotherhood kwenye Mataifa mengine ya kiarabu linaweza kukua sana.
Russia asikubali kupoteza kambi zake za Kijeshi Syria, in short asifanye mambo kama punga, badala yake aforce Syria igawanywe kimafungu, ataungwa Mkono na Israel, Iran(atakubali fedaration ambayo Wakurd watakuwa huru bila nchi), USA, Wakurd, Waarabu wa Kidruze, Kikristo na mataifa mengi ya Ulaya na Yenye nguvu, Chawa wa Russia nao wakubali hii proposal, Atapingwa na Mataifa yote ya Kissuni, yakiongozwa na Uturuki