GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hizbollah wapo watapeleka majeshi yao shekhe endelea kusubiri hapo kibarazani na msuli wako tunaenda kuikombo syria na Gaza soon shekhe wanguAssad kisha pinduliwa huyo Erdoğan hatukumuona kapeleka jeshi lake kupigana na Israel.
Iran wanasemaje huko mugwana wa kishia? Carpet bombing ya russia imefikia wapi huko aleppo? maana tuliambiwa russia hawezi kuwatosa washirika wake kamwe na ana makombora mengi hapa duniani?Huyo Muislamu gan anaacha masharubu? Tatizo limeanzia hapo hana discpline
Vipi, bado unabisha? AdiosamigoEndrlea kuota
Russia kuangalia maslahi yake vivyo hivyo itakua kwa IranIran wanasemaje huko mugwana wa kishia? Carpet bombing ya russia imefikia wapi huko aleppo? maana tuliambiwa russia hawezi kuwatosa washirika wake kamwe na ana makombora mengi hapa duniani?
Wale wanaotegemea free lunch kutoka kwa trump kwa vita inayoendelea Ukraine kaeni mkao wa kula 😍🤩😍🤩Naona kama russia anaenda kutema bungo ukraine
View: https://x.com/MOSSADil/status/1865658852307345696?t=ipfdjMXWTFBKD8z0X0UtWw&s=19