Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hili Dampo limekuwa ni kero sana, taka zinazagaa barabarani na nyingine kwenye makazi ya Watu hali hii ni mbaya sana tunahofia kupata magojwa ya mlipuko.
Ubaya zaidi tushaiwasilisha hii changamoto kwa Manispaa lakini bado halifanyiwi kazi, tunaomba JamiiForums mtusaidie kupaza hii sauti, tuna.
Hapa mvua zikianza kukchanganya hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa kuwa uchafu umesambaa hadi barabarani.
Pia, Soma
==> Dampo katika Soko la Stereo lililopo Temeke ni kero kubwa, Mamlaka ziongeze nguvu katika kuzoa taka
==> Dampo la ‘Bakhresa’ Mkuranga, linahatarisha afya za wakazi Dar na Pwani. Matunda kutoka dampo hilo yauzwa tena sokoni
==> RC Malima: Kama Morogoro mnataka kuwa Jiji acheni uchafu na ongezeni makusanyo ya Nndani