Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Jan 8, 2011 #1 View attachment 19960 mke wa Slaha akivuja damu baada ya kupewa kipigo kikali katika maandamano ya Arusha
View attachment 19960 mke wa Slaha akivuja damu baada ya kupewa kipigo kikali katika maandamano ya Arusha
K Kiwete JF-Expert Member Joined Dec 18, 2010 Posts 774 Reaction score 758 Jan 8, 2011 #2 Mama wa taifa jipya,picha hii ni alama ya mwanzo wa safari ya ukombozi wa kweli wa wa-TZ.Damu iliyomwagika hakika haitapotea bure!Pole mama
Mama wa taifa jipya,picha hii ni alama ya mwanzo wa safari ya ukombozi wa kweli wa wa-TZ.Damu iliyomwagika hakika haitapotea bure!Pole mama
Magulumangu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 3,051 Reaction score 461 Jan 8, 2011 #3 Reall fighter
A abbygil Member Joined Dec 30, 2010 Posts 30 Reaction score 1 Jan 8, 2011 #4 kiheduhedu tu, u first lady si mchezo, chezea kikwete weye:shut-mouth:
B Bontowar JF-Expert Member Joined Feb 21, 2009 Posts 520 Reaction score 53 Jan 8, 2011 #5 Sio Mke huyo bado hajakwenda kwa kanisa kufunga ...........
M Mwan mpambanaji JF-Expert Member Joined Apr 3, 2008 Posts 482 Reaction score 131 Jan 8, 2011 #6 Bontowar,tumia akili japo kidogo,tafsiri za mke zipo nyingi sio lazima kanisani kuna ndoa za bomani,na kisheria ukiwa na mke/mme chini ya paa moja for over six month iwe umeenda kanisani au msikitini au omani tayari ni ke
Bontowar,tumia akili japo kidogo,tafsiri za mke zipo nyingi sio lazima kanisani kuna ndoa za bomani,na kisheria ukiwa na mke/mme chini ya paa moja for over six month iwe umeenda kanisani au msikitini au omani tayari ni ke