Damu chapa chapa!!

Damu chapa chapa!!

Mama wa taifa jipya,picha hii ni alama ya mwanzo wa safari ya ukombozi wa kweli wa wa-TZ.Damu iliyomwagika hakika haitapotea bure!Pole mama
 
kiheduhedu tu, u first lady si mchezo, chezea kikwete weye:shut-mouth:
 
Sio Mke huyo bado hajakwenda kwa kanisa kufunga ...........
 
Bontowar,tumia akili japo kidogo,tafsiri za mke zipo nyingi sio lazima kanisani kuna ndoa za bomani,na kisheria ukiwa na mke/mme chini ya paa moja for over six month iwe umeenda kanisani au msikitini au omani tayari ni ke
 
Back
Top Bottom