asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Habari
Natumaini wazima wote,na mnendelea na mapunziko weekend....
Rafiki yangu wa kike ... Anashida ya kutokwa damu kwenye kitovu .tatizo hili lina muda hivi sasa linamiaka mitatu hivi damu hutoka kwenye kitovu kila baada miezi 3 au 6 hivi inatoka .. Hili linasababishwa na nini? .... Pia inaweza likawa shida ya kutokupata Mtoto hapo baadae ?
Nawezaje kulitibu hili ....
Natanguliza shukrani ...nipate ufumbuzi japo wa mawazo tu
Natumaini wazima wote,na mnendelea na mapunziko weekend....
Rafiki yangu wa kike ... Anashida ya kutokwa damu kwenye kitovu .tatizo hili lina muda hivi sasa linamiaka mitatu hivi damu hutoka kwenye kitovu kila baada miezi 3 au 6 hivi inatoka .. Hili linasababishwa na nini? .... Pia inaweza likawa shida ya kutokupata Mtoto hapo baadae ?
Nawezaje kulitibu hili ....
Natanguliza shukrani ...nipate ufumbuzi japo wa mawazo tu