Miss trinity
Member
- Feb 18, 2014
- 95
- 24
Akapime kichocho cha mkojo kinajulikana kama schistosomiasis ambacho husababishwa na wadudu wanaoitwa Schistosoma Hematobium. Hutokea zaidi kwa watu waliowahi kuishi karibu na maji ya ziwani, baharini, etc ndiko kwenye mazalia ya hao wadudu. Ingawa kwa sasa ni ugonjwa wa nadra sana.
mmmmh pole sasa mnafanyeje daily glory?
Siyo kila siku ilimtokea jan kwa mwez huu sijaona kitu hch bt haumwi mbn kawaid ila nilikuwa nataka kujua n ugnjwa gan????
ok ngoja nikusaidie je ametahiriwa?
na wewe pima uti sio mmeo tu..
mbona unacheka? kwani wanaume wote wametahiriwa ?Haaaa haaaa umenichekesha bt ndy katahiriwa.!
mbona unacheka? kwani wanaume wote wametahiriwa ?
ok ngoja nikusaidie je ametahiriwa?
hivi nayo nisababu eeh
Kichocho?