Dan Sserenkuma achana rasmi na Simba

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Mchezaji butu wa Simba sc aliye sajiliwa katika dirisha la usajili lililopita ametamatisha mkataba wake na club hiyo baada ya mambo kuwa magumu mno.


Katika account yake ya twitter ameandika :

@dansserenkuma

Today, Simba FC, myself and my agent have decided to mutually terminate my employment contract.

Mshambuliaji huyo alinunuliwa katika Klabu ya simba ili kujaza nafasi ya Hamisi Tambwe aliye kimbilia Yanga Fc.
 
mbwembwe zote zile wakati wa usajili??
 
Kwa ujinga wa soka la bongo,utasikia katua Jangwani.

Wamepita hapa si muda mrefu, yeye na wakali wake...!

Anaenda kumwaga wino ili ACHEZE Klabu Bingwa Mwakani.
 
Haaaa jamaa kaona timu yenyewe haina future, wee kila mwaka timu inashiriki mabonanza tu utaonekana vipi kimataifa

Bado okwi naye muda si mrefu mtasikia huyooooo!!!
 
Kachoka kuoga maji ya maiti bila tija. Hilo tu likikuwa linamwathiri kisaikologia!
 
Haaaa jamaa kaona timu yenyewe haina future, wee kila mwaka timu inashiriki mabonanza tu utaonekana vipi kimataifa

Bado okwi naye muda si mrefu mtasikia huyooooo!!!

Kakimbia issue za masongoma kule. Anaweza kuja Yanga na kuwika bila shida.
 

Mgonjwa katema dawa!

Huu ni mwanzo tu, anguko la Simba limewadia.
 
Dani hata kama asingesitisha mkataba wake, panga lingemuhusu tu maana "mwenyekiti" Raphael Kiongera anakuja kukaa kwenye kiti chake msimu ujao.
 
Huyo jamaa angekuwepo na jina lake hilo wakati Simba inacheza na Libolo sijui ingekuwaje
 
Dani hata kama asingesitisha mkataba wake, panga lingemuhusu tu maana "mwenyekiti" Raphael Kiongera anakuja kukaa kwenye kiti chake msimu ujao.

Huyo Kiongera alishindwa tangia mwanzo... sidhani kama anaweza rudi.!

1nataka moyo sana kuwa na ujasiri wa kuoga maji ya Maiti!
 
Simba wameharibu sana kiwango cha Dan...

Bora kafanya maamuzi ya busara ya kuachana na hao Mkia FC waoga maji ya maiti...
 
Mmmm napita tu ila huyu anaejua simba wanaogea maji ya maiti aaaah!!!%$##% nafikir huwa anawauzi simba hayo maji
 
Huyo Kiongera alishindwa tangia mwanzo... sidhani kama anaweza rudi.!

1nataka moyo sana kuwa na ujasiri wa kuoga maji ya Maiti!

Kiongera ana mkataba na Simba SC, Msimu ujao lazima tuwe nae, hivyo mjiandae tu kukutana na dhahama lake.
 
Kiongera ana mkataba na Simba SC, Msimu ujao lazima tuwe nae, hivyo mjiandae tu kukutana na dhahama lake.

Ingawa mpira haupimwi kwa kutumia cross multiplication, nadhani Kiongera hana madhara yoyote.

Sserunkuma na Kiongera wote walikuwa Gor Mahia na Sserunkuma aliukwaa ufungaji bora huku Kiongera akiwa mchezaji wa normal tu.

Sasa kama Sserunkuma aliyekuwa bora yamemshinda atafanya nini huyo Kiongera majeruhi wa kudumu? Mechi mbili za mwanzo wa ligi atatoneshwa tu na kurejeshwa India, siombei yawe hivyo, ni hali halisi.
 
Mmmm napita tu ila huyu anaejua simba wanaogea maji ya maiti aaaah!!!%$##% nafikir huwa anawauzi simba hayo maji

Kuna watu wanaoongea kama mataahira make hata ukimwambia athibitishe hawezi. Si hawajui memo huu : "
No research no right to speak"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…