demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mchezaji butu wa Simba sc aliye sajiliwa katika dirisha la usajili lililopita ametamatisha mkataba wake na club hiyo baada ya mambo kuwa magumu mno.
Katika account yake ya twitter ameandika :
Mshambuliaji huyo alinunuliwa katika Klabu ya simba ili kujaza nafasi ya Hamisi Tambwe aliye kimbilia Yanga Fc.
Katika account yake ya twitter ameandika :
@dansserenkuma
Today, Simba FC, myself and my agent have decided to mutually terminate my employment contract.
Mshambuliaji huyo alinunuliwa katika Klabu ya simba ili kujaza nafasi ya Hamisi Tambwe aliye kimbilia Yanga Fc.