brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Mtandao mmoja huko Ujerumani umeripoti kuwa bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote amefariki ghafla kwa kuugua kwa muda mfupi
Hata hivyo bilionea huyo alikanusha madai hayo kupitia Twitter na kusema yeye yupo salama salmini na yupo S.Africa akifanya mambo yake
Hata hivyo bilionea huyo alikanusha madai hayo kupitia Twitter na kusema yeye yupo salama salmini na yupo S.Africa akifanya mambo yake