DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Umenifanya nicheke bila kufungua kinywa maana sijaswaki bado.Viongozi waliposema tanzania ya viwanda walimaanisha viwanda vya wagonga nyundo kama sido. Sasa nyie mnawasuprise na likiwanda lenu kubwa hivyo unategemea nini. Lifungeni bana
UNA HEKIMA SANA . ..UBARIKIWE SANA . ........anaye chukia kwao MTUMWAKuna tabia ya waTanzania kupenda kuiponda serekali yao bila hata kuujua ukweli,ilimradi tu awe ametoa kashifa kwa nchi yake na kuisifia ya pembeni,ni kawaida kabisa kwa waTanzania,kila ukifika vijiweni,kwenye mkusanyiko wa watu kidogo utakuta raia wanasema vibaya tu kwa kila kitu hata kama kuna jema hawalioni,hapa wewe ndugu hata unaweza usijue undani wa huyo Dangote alitaka yamkini kutubadilikiaje,ogopa sana ukiwa na watoto wa kike nyumbani kwako afu anaibuka tu jamaa anasema ataweka ofc ili watoto wako wapate ajira pia,kuna siku utajuta na utatamani kumfukuza lakini atakua keshazalisha watoto wako wote na hauwezi mfukuza kwa kua wajukuu zako watalelewa na nani.
Hata kàma ni nchi ya viwanda, kumbuka kwamba tunatakiwa kureview mikata yote, ili ikae kimaslahi zaidi, co kwa kuwa aliahidiwa kupewa gesi ya bure wakati huo, je cc ni kwa ajili ya kumnufaisha yy? kama hawezi andoke, na huko Kenya ndo alitaka kujenga hiki kiwanda kabla na baadae kuamua kukijenga hapa tz na kama pia kaamua kurudi Kenya bado sio mbaya, inawezekana ndo namna ya uwekezaji wake huo.Viongozi waliposema tanzania ya viwanda walimaanisha viwanda vya wagonga nyundo kama sido. Sasa nyie mnawasuprise na likiwanda lenu kubwa hivyo unategemea nini. Lifungeni bana
MKOPO WA TIBAtaondoa machine zilizopo Mtwara NA kupeleka kenya
Amen RADangote hawezi kuondoa kiwanda. Ujenzi wa kiwanda ni wa gharama kubwa sana hivyo hawezi kufanya ujinga huo. Msiwe na akili za kilofa
Hata kàma ni nchi ya viwanda, kumbuka kwamba tunatakiwa kureview mikata yote, ili ikae kimaslahi zaidi, co kwa kuwa aliahidiwa kupewa gesi ya bure wakati huo, je cc ni kwa ajili ya kumnufaisha yy? kama hawezi andoke, na huko Kenya ndo alitaka kujenga hiki kiwanda kabla na baadae kuamua kukijenga hapa tz na kama pia kaamua kurudi Kenya bado sio mbaya, inawezekana ndo namna ya uwekezaji wake huo.
Yaani sana tu, na wale wawekezaji kutoka kenya aliokuwa akisema mkulu c watakmbia kabisa kama dangote kashindwa wenyewe na pesa za madafu wataweza kwel lizima watoke ndukiiiWakenya watatucheka sana,iwapo Dangote ataenda uko!
Kuna uzi humu una sound clip ya mfanyakazi mmojawapo wa Dangote.Kuna tabia ya waTanzania kupenda kuiponda serekali yao bila hata kuujua ukweli,ilimradi tu awe ametoa kashifa kwa nchi yake na kuisifia ya pembeni,ni kawaida kabisa kwa waTanzania,kila ukifika vijiweni,kwenye mkusanyiko wa watu kidogo utakuta raia wanasema vibaya tu kwa kila kitu hata kama kuna jema hawalioni,hapa wewe ndugu hata unaweza usijue undani wa huyo Dangote alitaka yamkini kutubadilikiaje,ogopa sana ukiwa na watoto wa kike nyumbani kwako afu anaibuka tu jamaa anasema ataweka ofc ili watoto wako wapate ajira pia,kuna siku utajuta na utatamani kumfukuza lakini atakua keshazalisha watoto wako wote na hauwezi mfukuza kwa kua wajukuu zako watalelewa na nani.
Ona akili zetu hiziMwache aende tu
Kinachosikitisha ni kuona awamu ya nne ilijitolea kuandaa Katiba mpya, lakini wahafidhina wakampotosha kiongozi na kuleta Inayopendekezwa yenye mambo yaleyale ya kizamani. Ama kwa hakika Maoni ya Wananchi ambayo Jaji Warioba waliyakusanya, yalikua na mambo mazuri sana kwa mustakabali wa nchi, lakini looo, tumebaki palepale.Hili sakata la Dangote ni kielelezo tu kuwa kama taifa hatujajipanga kwa kwa ajili ya kupata maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Hakuna nchi iliyopata maendeleo endelevu ya kiuchumi bila kuwa na taasisi huru na imara za kiuchumi na za kisiasa.
Tanzania haitaweza kwenda kokote kiuchuni chini ya katiba iliyopo. Badala ya kuweka taasisi huru na zenye nguvu za kiutawala, katiba yetu inamfanya rais kuwa kila kitu; halazimiki kukubali ushauri wowote kutoka kwa mtu yeyote na kwa hivyo inampa "leeway" ya kuendesha nchi kwa utashi wake tu! Nilishawahi kusema tena hapa JF kuwa kinyume na watu wengi wanavyoamini, urais wa JMT siyo taasisi bali ni utashi wa anayekalia kiti cha urais.
Katika mazingira haya, nchi ikiwa na rais mwenye weledi mdogo wa mambo ya kiuchumi na kijamii au anayefanya maamuzi kwa kuzingatia hisia zake tu inakuwa ni janga. Kama kwa mfano, kama rais anahisi tu kuwa kuna "dili" za watu katika mradi wa kiwanda cha Dangote, basi hiyo pekee inatosha kusabababisha sintofahamu iliyotokea. Hii inahushisha pia matumizi ya sheria kiupendeleo kwa kulenga "maadui wa kisiasa" kama ilivyoyokea kwa Mbowe kufurumushwa Billicanas ilhali wadaiwa wengine wa NHC wanaendelea kupeta; na Sumaye kunyang'anywa shamba ilhali kuna maelfu kwa maelfu wengine wenye mashamba tena kwa muda mrefu zaidi hawajaendeleza na hawajaguswa!
Habari kama hizi zimeripotiwa sana na vyombo vya kimataifa. Je ni ujumbe gani unapelekwa kwa wawekezaji watarajiwa (potential investors)? Kwamba Tanzania ni nchi hatari kwa uwekezaji kwa sababu inaendeshwa "arbitrarily". But this is self-inflicted damage!
Katiba iliyopo haifai pia kwa sababu inazalisha watawala wasiofaa na wasio na uzalendo kwa sababu ya kukosekana kwa taasisi huru na imara za kisiasa.
Good question...wacha na mie ningoje majibu ya swali hili...Kwahiyo Kenya ataweza kuhudumia soko la Burundi kama.alivyotarajia?
Kasome kenya news