Dangote Cement penetrates giant Kenyan Cement Market

Aende tu, haiingii akilini makaa ya mawe yapo aagize nje, gypsum ipo a agize nje, pia anataka gas bure ili yeye aendee kutajirika nasi tuendelee kuwa masikini, hata leo aondoke tu
 
Tuna viwanda karibu kila mkoa walivyoanziasha Wamaa wetu wanaopasua kokote! TANZANIA YA VIWANDA

Sio mikoani tu. Mwijage alisema hata wewe nyumbani kwako kama una blender, hicho ni kiwanda tayari maana kitasaidia kuhakikisha matunda yanageuzwa kuwa juice badala ya kuozea shambani. Walio na mashine za kusaga mahindi huko vijijini vile ni viwanda pia.
 
Aende tu, haiingii akilini makaa ya mawe yapo aagize nje, gypsum ipo a agize nje, pia anataka gas bure ili yeye aendee kutajirika nasi tuendelee kuwa masikini, hata leo aondoke tu
Hivi kuna sehemu dangote alisema apewe gas/umeme bure? Unaweza ukaniambia kwanini hajapewa ile gasi hadi leo?
 
Dangote hawezi kuondoa kiwanda. Ujenzi wa kiwanda ni wa gharama kubwa sana hivyo hawezi kufanya ujinga huo. Msiwe na akili za kilofa
Kwani kwa akili zako wewe unafikiri hicho kiwanda atakibeba? Anaweza kukiuza au hata kumgawia mtu tu as a gesture of.goodwill. Kwa Dangote hiyo investmet hapo ni sawa na DART bus moja. Hatoondoa kiwanda kwa sababu ya kuifikiria jamii na sio tumbo lake unlike you the lot. Mind you, serikali ikitaka isitake itafata anavyotaka. Wealthy comes with power
 
Serikali hipo nyuma ya msauzi afrika kuujumu dangote kwa sababu msauzi ndiyo anamiliki viwanda vya saruji nchini hivyo ujio wa dangote ulikuwa tatizo kwao
Ukanda wa kusini ni nchi ya watu mkuu so dangate lazma kule vikwazo vitakuwa vingi na atakuja kuondoka huko mwenyewe ni suala tu la mda
 


Alikuwa huko Kenya kabla ya kuja kwetu pia wakashindwana ndio akaamua kuja kwetu, labda waziondoe hizo tofauti lkn mtindo wake wa kutaka bure sijui kama Wakenya watamkubalia!
 
Pia dangote akiondoka watanzania watakosa ajila. Ndani ya uwekezaji wake kuna baadhi ya watanzani a wengi waliajiliwa kufanya kazi kwenye hivyo viwanda. Je ni bora watanzania ambayo hawana ajila wazidi kutapakaa nchini au mwekezaji aendelee kukaa nchini?
 
Kwani zamani alikuwepo kila kona dangote dangote yy aende tuu
 
Nawaonea huruma wafanyakazi tu maana walikuwa washanipatia kaajira ka kupeleka watoto chooni n now .......itabaki story tu
 
Unaweza ukawa unajua kiingereza Ila ukakosa kuelewa dhana ya mada husika.
 
Ili wafanye kazi zao kwa ueledi hawa mabwana wakubwa wetu watengenezwe upya wawe sawa na sisi.
 
mikataba ya ajabu inadhoofisha uwekezaji habari hii ya Dangote ni kusikitisha sana. Watendaji wa serikal yetu hawajui kuheshimu mikataba ya uwekezaji. Wana kazi ya kutengeneza mazingira yenye data za uongo ili wasign deal zao za kula na matumbo yao. Kwanza walishindwa kumpa Gas kwa sababu zamkijinga akaweka mtambo wa makaa ya mawe serkali ikashindwa kuweka kipaumbele ili Dangote apate hitaji lake sahihi. Hapo kumbuka Makubaliano ya Gas yaliishia hewani watendaji wa serikali yetu walibadili lugha ya bei zao Dangote akaona isiwe shida atafanya na makaa ya mawe. Hayo makaa nayo wakayafanyia mizengwe kwanza hayafiki tons anazotaka na makaa hayafiki kwa muda sahihi . Dangote akazamia Disel akazalisha kwa hasara ameamua kweli kusimamisha uzalishaji kiwandani kwake . Sasa hii nchi imekabidhiwa kwa maDr na maProf wameshindwa kuona hili ?

• Watendaji wote walioshiriki kumsimamia Dangote afungue ile plant kule Mtwara sasa wafanye yafuatayo

Wafanye sherehe ya kujipongeza kumfanya Dangote ashindwe kuzalisha na hivyo watanzania wamekosa ajira na nchi inakosa mapato

Wafanye sherehe kwa sababu wamefanikiwa kuitia aibu Tanzania kwa kujidai tuna Gas na makaa ya mawe ya kutosha wakati ni unafiki mtupu

Wafanye sherehe kujipongeza kwa kuifanya Tanzania ionekane ina watu mbumbumbu wasiojua mikataba na misamamo ya Matajiri wanaoheshimika duniani

Wafanye sherehe kwa sababu kile kiwanda cha dangote kitabakia kuwa Gofu kama magofu mengine waliyoyatengeza miaka ya nyuma

Wana kila sababu ya kufanya sherehe kwa kuwa wamefanikiwa kuangamiza maisha ya Mtanzania na kuyafanya yawe na umaskini wenye sura mpya kidunia.

Cha kusikitisha watendaji wa serikali walikuwepo katika kipindi cha awamu zilizopita walishiriki kutangaza manufaa ya kiwanda cha Dangote. Prof Sospeter Muhongo uko wapi na usomi wako kwenye hili?

Endeleeni kuongeza bidii kupiga mikelele eti Tanzania ni nchi ya asali na maziwa wakati hakuna wanyama wa kukamuliwa maziwa wala nyuki wa kutengeneza asali.

Viwanda fake vya konyagi na viroba mnavifunga kwa kutumia nguvu nyingi ila viwanda vikubwa kama Dangote wanafunga wenyewe na nyie mmefyata midomo yenu.

Mnatia aibu sana tu nyie mnaojita viongozi. Elimu yenu imekataa kuishi nanyi hata sisi wananchi hatuwataki

"Mlisomea ujinga " FiazaFoxy favorite words [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Vijawa wa dangote walishanunua altezza,wamekodi ghetto mbezi beach,dah?kweli maisha kupanda na kushuka
 
Acheni kupiga kelele hovyo hovyo!!
Lazima nchi tunufaike na mwekezaji.
 
Watucheke mara ngapi Mkuu, dalili za mvua ni mawingu ndiyo dalili za kusepa kwa Dangote badala ya kuendelea kujibizana na hawa wenye maigizo yasiyokwisha.
Hivi ni kwamba wanamlazimisha anunue makaa ya kiwira au vipi?
 
Nchi haina dira, kila anayeanza urais anakuja na lake ndo maana mambo hayaendi. Halafu Dangote anasumbuliwa kwa sababu ni mwafrika, ila angekuwa ni mzungu asingesumbuliwa maana serikali zao zinawalinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…