Dangote Cement penetrates giant Kenyan Cement Market

Naanza kupata mwanga
 
Acha tutumie ubabe kuamua mambo ya uhai wa taifa kama hayo ya wiwanda.
 
Dangote hawezi kuondoa kiwanda. Ujenzi wa kiwanda ni wa gharama kubwa sana hivyo hawezi kufanya ujinga huo. Msiwe na akili za kilofa
Bwana Lizaboni mngoni mwenzangu,kwa mawazo yangu sidhani kama kufungua mitambo nakuitia kwenye MELI toka Mtwara mpaka bandari ya Mombasa kama itakuwa sawa na kwenda kununua mitambo na kuitoa huko sokoni mpaka mombasa.Kama kigezo cha kumkomoa Dangote ni kwamba hawezi kufunga kiwanda kwa kuwa ni gharama basi serikali imefeli mkuu.....
 
Afadhali wamchukue Dangote na sisi tubaki na Diamond Platunums
 
Jpm, fukuza mwijage, fukuza muhongo, wati
mue haraka sana maana ktk hili wamekuangusha.
 
Sometimes huwa nahs mkuu wetu anaongea mambo ya side b

Huu ni udini tu. mkuu ni mdini sana na ana remotiwa na Vatican through pengo. Fatilia.

Eti kwavile ni alhaj dangote na Vatican hawafaidiki naye wanamwekea mizengwe mingi.

Hawataki MTU asiye wao awekeze. Atafaidi.

Bakhresa mwenyewe walitaka kumchinjia majini lakini wakakuta kina kirefu wao watazama
Why? Bse is a Muslim
Think twice.....

Issue kwavile kimejengwa Mtwara kwa waislamu wengi.

Wakamuachia

Visa tu. Ila wamechelewa jk keshanaliza. Kiwanda miaka 99 kipo lazima kizalishe dangote tajiri kubwa. Ataendesha hata kwa generator.
 
Dangote hawezi kuondoa kiwanda. Ujenzi wa kiwanda ni wa gharama kubwa sana hivyo hawezi kufanya ujinga huo. Msiwe na akili za kilofa
mkuu sidhani kama mtu mwenye fedha zake duniani pote anaona asara kama ni jambo la kushangaza kama walivyo maskini.

Matajiri ua hawapendi ndimi 2 yaani hawapendi umagumashi kwenye biashara.

Swali hapa Je! Awamu iliyopita iliingia mikataba na huyu ndugu ya Kupiga Mbizi kwenye Ges na Mafuta?

Kama walifanya hivyo basi Anayetakiwa kushugulikiwa ni Viongozi wa Awamu hiyo na siyo kuja kumletea Mizengwe Huyu ndugu.

Kinachotuponza nchi hii ni uchama mbele Taifa nyuma. Kulindana lindana.

Tunashuhudia wanaotumbuliwa wengi wao sio wanasiasa bali ni watu wataaluma.

Huku wanasiasa wengi walio haribu katika nafasi zao kwa kuingia mikataba mibovu wakiachwa mitaani.

Tukiendeleza Dhambi hiyo ya kutumbua kwa kubagua hakika Laana ya Mwenyezi Mungu haita Ondoka kwenye Nchi hii.
 
**
wewe unatakiwa umsaidie rais wetu...
 
Huo utafiti unaotaka tufanye ndipo tutoe hitimisho tutaufanyia wapi ikiwa Waziri ambaye ndiye ana dhamana na. 1 juu viwanda anatuambia "jana liwaficha/niliwadanganya". Tuwe wakweli hili jambo tunalishughulikia kwa kutumia upeo mdogo sana. Tuliwauliza kwanini kina Bakhresa, Azania wananunua ngano kutoka Canada kwanini yeye mumzuie kununua huko? Mimi naamini yeye si mjinga, mkiyafanya makaa yetu kuwa bora na nafuu kwa siku za usoni hataagiza South badala yake atanunua wapi kwenye unafuu.
 
Nimesikiliza VOA leo , kumbe kelele zote za Dangote cement zimeanzishwa na wapiga dili waliobanwa na serikali ya JPM.. job true true!
 
nchi kubwa na umasikini tele
Dangote alikuwa anakerwa na hali hii,lakini sisi wabongo tunataka wabaki katika hali hii ili wakati wa kampeni tukiwapelekea khanga na t-shirt na tukofia twa kidwanzi watuchague WARA SHAME!
 
You can never make it alone into this life kabisa,alafu kingine roho mbaya haijengi haswa unapokuwa kiongoz,
Issues ya dangote ni chuki binafsi tuu hakuna zaid ya hiloo mta tafuta kila sababu juu ya hilo.jambo
The avalanches levels of hatred juu ya Dangote ni kubwa mnoo hailezeke kabisa nawaambia,tuzid kuomba kwa moro wetu solutions ipatikane ili kiwanda waki restart,maana victims hapo ni kina sisi walala hoi.LIMBO!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…