Dangote Cement penetrates giant Kenyan Cement Market

Dangote Cement penetrates giant Kenyan Cement Market

Huo utafiti unaotaka tufanye ndipo tutoe hitimisho tutaufanyia wapi ikiwa Waziri ambaye ndiye ana dhamana na. 1 juu viwanda anatuambia "jana liwaficha/niliwadanganya". Tuwe wakweli hili jambo tunalishughulikia kwa kutumia upeo mdogo sana. Tuliwauliza kwanini kina Bakhresa, Azania wananunua ngano kutoka Canada kwanini yeye mumzuie kununua huko? Mimi naamini yeye si mjinga, mkiyafanya makaa yetu kuwa bora na nafuu kwa siku za usoni hataagiza South badala yake atanunua wapi kwenye unafuu.
Tatizo siyo uwongo wa waziri bali ni tabia ambazo corporates nyingi duniani hufanya hivyo[hata dangote] hawapendi mikataba yao iwe dhahiri kwani kibiashara inakuwa siyo sahihi kwa washindani wako kujua kunani kwenye mkataba wako.
 
Back
Top Bottom