Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Siku ya tarehe 10 October 2015 Historia itaandikwa katika Manispaa ya Mtwara na Afrika Mashariki ni pale kiwanda kikubwa cha uzalishaji wa Siment Afrika Mashariki na Kati kitakapofunguliwa na Mh:- Jakaya Mrisho Kikwete....
Karibuni wana JF tushuhudie kufunguliwa kwa kiwanda cha Dangote mjini Mtwara.
Karibuni wana JF tushuhudie kufunguliwa kwa kiwanda cha Dangote mjini Mtwara.


