Siku ya tarehe 10 October 2015 Historia itaandikwa katika Manispaa ya Mtwara na Afrika Mashariki ni pale kiwanda kikubwa cha uzalishaji wa Siment Afrika Mashariki na Kati kitakapofunguliwa na Mh:- Jakaya Mrisho Kikwete....
Karibuni wana JF tushuhudie kufunguliwa kwa kiwanda cha Dangote mjini Mtwara.