Yote yanawezekana sisi ngoja tushauri wahusika wachukue ushauri kama wataona unafaa.Ni good move lakini ingekuwa jambo zuri kama serekali kupitia kampuni yake wangekuwa na hisa si vizuri kila kitu kufanywa na wageni.
Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
Hiyo ndio naweza kuita Afrika's success story na SIYO hawa Waarabu ama Wahindi akina Bakhresa, Dewji, Sobodo &Co. waliofaidikia na Biashara ya Utumwa na meno ya tembo, yaani uwekezaji wa watu walio kama mimi weusi kwa 100%!
Huo sasa usongo.
Kama unaweza hata wewe unaweza kuanza kuzalisha umeme, unangoja nini?
Mitambo iliyowekwa Kinyerezi ni kwa sababu zake maalum, kama isingewekwa hapo kuanza tena kuiunganisha na gridi ya Taifa ni gharama kubwa sana ukilinganisha na kuiunganisha kutokea Kinyerezi, isitoshe, kwa sasa gas itakayozidi, Dar itapata matumizi haraka sana kwa viwanda vilivyopo kuliko Mtwara.
Mtwara kuna mambo makubwa sana yanakuja lakini itachukuwa muda, Rome was not built in a day.
Wacha kuwa na mtazamo wa kizamani usituletee siasa za majimbo ya kubaguwana.
Ewe punguani umeaminishwa kuwa Afrika ni kontinenti la watu wausi ukaamini.
Mtazame Mwigulu, mweusi yule?
Wacha ubaguzi wa kijinga, Afrika kuna weupe wengi sana kuliko akili yako iliyo kizani.
Hivi nyie magamba mnasoma shule zipi mpaka mnashindwa kufanya tafakuri za kina.. Unataka kutuambia mitambo ya kinyerezi ingefungwa mtwara then nyaya za umeme zitandazwe na kuja kuunganishwa kwenye grid ya taifa ni gharama kubwa kuliko mnavyojenga hilo bomba la gesi na kuisafirisha kutoka Mtwara mpaka Kinyerezi Dar?
Tunajua nyuma ya pazia kulikuwa na nin kwenye huo mkataba tata wa gas.. Tulitegemea mtekeleze sera yenu ya Mtwara Corridor ambayo ilikuwa na nia nzuri na gharama nafuu.. Umeme uzalishwe mtwara, upelekwe RUVUMA, RUKWA NA KIGOMA unakuja kuungana na Tabora then Mwanza na Kagera..
Kwa ubongo kama wako nchi hii itachukua zaidi ya miaka 100 kutuondolea kero ya umeme nchini..
Sijasema kwamba Afrika kuna watu weusi tu, bali nimesema hapa kwetu ni nchi ya watu weusi kwa 100%!
Unaniita punguani halafu unaniuliza kama Mwigulu Nchemba ni Mtu mweusi?
Kwanza jina tu la Mwigulu Nchemba linatosha kukwambia kwamba huyu Mtu ana mizizi yake hapa hapa nchini, lkn jina kama Dewji, Sobodo, Bakhresa, Singh hata Mtoto wa chekechea atakwambia kwamba hawa ni Wahindi na sio wetu na picha hapo chini zinasema yote!
kama mpango ni kukamuana hadi damu kwa capacity charges bora kukaa gizani roho yako inadunda. priority iwe ni tanesco kumiliki mitambo yake.Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
Ni good move lakini ingekuwa jambo zuri kama serekali kupitia kampuni yake wangekuwa na hisa si vizuri kila kitu kufanywa na wageni.
Nimekuuliza Mwigulu nae katokea wapi? mwezini? au kwenu yule mweusi?
Wacha ubaguzi wa kijinga, Afrika kuna wengi sana weupu/ Hao ulioweka picha zao pengine ni Watanzania zaidi yako.
sasa hivi iko >tshs350 ndio unaona wakubwa wanapata viroba vya noti kama mgao wao bila kuwekeza kitu.Mi ninachotaka bei mwisho wa siku iwe <100 kwa unit moja ya kWh. Umeme kazalisha nani sidhani kama ni issue kwa dunia ya leo.
Tazqma maajabu haya jamani, unafikiri nyaya tu ndiyo zinasafirisha umeme? Dah hizo shule mnazokwenda huwa mnaenda kusomea ujinga?
Nimekuuliza Mwigulu nae katokea wapi? mwezini? au kwenu yule mweusi?
Wacha ubaguzi wa kijinga, Afrika kuna wengi sana weupu/ Hao ulioweka picha zao pengine ni Watanzania zaidi yako.
Kweli Kabisa,ukijua Kuwatengenezea Viongozi Wa Ccm Madili Ya Kupiga Hela Kama Sethi Singh Unatunukiwa Uzalendo Na Kina Faiza Vibaraka Wa Wezi,eti Singa Singa Mwizi Ni Mtanzania Kuliko Mndengereko! Ajabu
Huo sasa usongo.
Kama unaweza hata wewe unaweza kuanza kuzalisha umeme, unangoja nini?
Mitambo iliyowekwa Kinyerezi ni kwa sababu zake maalum, kama isingewekwa hapo kuanza tena kuiunganisha na gridi ya Taifa ni gharama kubwa sana ukilinganisha na kuiunganisha kutokea Kinyerezi, isitoshe, kwa sasa gas itakayozidi, Dar itapata matumizi haraka sana kwa viwanda vilivyopo kuliko Mtwara.
Mtwara kuna mambo makubwa sana yanakuja lakini itachukuwa muda, Rome was not built in a day.
Wacha kuwa na mtazamo wa kizamani usituletee siasa za majimbo ya kubaguwana.