We mburula wa kike haya tuambie kama sio nyaya kiunganishi kikuu cha umeme ni nini,, na nini maana ya grid ya taifa? Hata unavyosikia mkongo wa taifa ni nyaya ndiyo kiunganishi.. Au Bluetooth..na bomba la gas ndiyo kiunganishi cha umeme kama mnavyodanganywa na la-profesar Mkwele?
We mburula wa kike haya
tuambie kama sio nyaya kiunganishi kikuu cha umeme ni nini,, na nini
maana ya grid ya taifa? Hata unavyosikia mkongo wa taifa ni nyaya ndiyo
kiunganishi.. Au Bluetooth..na bomba la gas ndiyo kiunganishi cha umeme
kama mnavyodanganywa na la-profesar Mkwele?
Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
We mburula wa kike haya tuambie kama sio nyaya kiunganishi kikuu cha umeme ni nini,, na nini maana ya grid ya taifa? Hata unavyosikia mkongo wa taifa ni nyaya ndiyo kiunganishi.. Au Bluetooth..na bomba la gas ndiyo kiunganishi cha umeme kama mnavyodanganywa na la-profesar Mkwele?
Hii kitu ingeachwa kwa watu binafsi from the beginning wala tusingefika kwenye hizi skendo zote na washamba kama akina chenge kugawiwa pesa hovyo
EWe punguani kanisome vizuri siyo unajibu kwa kukurupuka, nimesema "unafikiri ni nyaya pekee". Hilo neno pekee hujaliona au ni upunguani tu?
Zile nyaya za "high voltage" unazibeba mgongoni kusafirisha umeme? unajuwa equation za loss ya electrical resistance? unajuwa maana ya stations na sub stations?
Kupitisha nyaya za umeme za high voltage kuna involve kuchonga njia vile vile chini ya hizo nyaya, unalijuwa hilo ewe punguani? Unajuwa gharama ya yale maguzo ya high voltage kuyasambaza kilo meter 500?
Si nyaya pekee, kuna mengine ya kutazama zaidi ya nyaya.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
EWe punguani kanisome vizuri siyo unajibu kwa kukurupuka, nimesema "unafikiri ni nyaya pekee". Hilo neno pekee hujaliona au ni upunguani tu?
Zile nyaya za "high voltage" unazibeba mgongoni kusafirisha umeme? unajuwa equation za loss ya electrical resistance? unajuwa maana ya stations na sub stations?
Kupitisha nyaya za umeme za high voltage kuna involve kuchonga njia vile vile chini ya hizo nyaya, unalijuwa hilo ewe punguani? Unajuwa gharama ya yale maguzo ya high voltage kuyasambaza kilo meter 500?
Si nyaya pekee, kuna mengine ya kutazama zaidi ya nyaya.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Hivi hizi hela za capacity charge tunazolipa makampuni yazalishao umeme hatuwezi kununua mitambo yetu ya kufua umeme wa gesi ikawa mali ya tanesco?
Malizia kutoa taarifa kwamba umeme wote ni kwa MATUMIZI YAKE PEKEE...Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
Kwa mwezi tunamlipa IPTL aka PAP capacity charge kiasi cha $4,200,000 kwa mwaka ni $50,400,000 na kwa miaka 20 aliyo na mkataba nayo ni $1,008,000,000.
Tembelea hii website upate kujua ni mitambo mingapi tunaweza kununua!!!!
http://www.orley.de/power-generation-plants-sale-purchase.htm
Matumizi ya wote. Watanzania na watu wa mataifa mengine. Ila unaweza wafanya wana Mtwara wakadhani umeme wa Dangote utaingia kwenye nyumba zao...Na cement atakayozalisha kwa kutumia huo umeme ni kwa matumizi yake pekee?