Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
We mburula wa kike haya tuambie kama sio nyaya kiunganishi kikuu cha umeme ni nini,, na nini maana ya grid ya taifa? Hata unavyosikia mkongo wa taifa ni nyaya ndiyo kiunganishi.. Au Bluetooth..na bomba la gas ndiyo kiunganishi cha umeme kama mnavyodanganywa na la-profesar Mkwele?
Ha ha ha ha
MFUKUZI unahangaika bure na akina FaizaFoxy uelewa wao juu ya haya mambo ni mdogo Sana.....
Wakati wewe upo serious mwenzio anajifurahisha na kupoteza muda.
Last edited by a moderator: