Kwa kweli inashangaza sana. Tunalipa mabilioni kila mwezi kama capacity charges. Shamba la bibi hili.Hivi hizi hela za capacity charge tunazolipa makampuni yazalishao umeme hatuwezi kununua mitambo yetu ya kufua umeme wa gesi ikawa mali ya tanesco?
Lengo kuu ni kuzalisha umeme wa kuendesha kiwanda chao cha saruji. Pengine itasaidia kupunguza gharama za uzalishaji na kumpatia mwananchi saruji kwa bei nafuu. Kwa upande mwingine, hivi sheria ya uwekezaji haiwahitaji hawa kina Alhaji Aliko kuwa na wabia wakitanzania kwenye uwekezaji wao?Dangote wameomba leseni ya kuanza kufua na kuzalisha umeme wa megawati 75 huko Mtwara.
Soma zaidi: DANGOTE INDUSTRIES-PUBLIC NOTICE
Semeni.
Lengo kuu ni kuzalisha umeme wa kuendesha kiwanda chao cha saruji. Pengine itasaidia kupunguza gharama za uzalishaji na kumpatia mwananchi saruji kwa bei nafuu. Kwa upande mwingine, hivi sheria ya uwekezaji haiwahitaji hawa kina Alhaji Aliko kuwa na wabia wakitanzania kwenye uwekezaji wao?
TIC ya kina Ole Naiko, au kuna nyingine!Pitia tovuti ya TIC kuna sheria zote za uwekezaji.
Zikitoka China kuna tatizo gani?nilikua mtwara wiki kadhaa na nilibahatika kufanya interview na project manager wao...moja ya maswali ilikua ni wanategemea source gani ya power./...wakaniambia tpdc/gas thing walifuatwa but they are so expensive...........the plan wataimport hayo makaa ya mawe then watengeneze power....hao EWURA wamejiridhisha watatoa wapi izo raw materials?lait wangejua zinatokea China
Another big energy scandal in the making!!!! IPTL na Escrow nyingine hiyo Tusubiri tu kitaponuka!!!
Hivi hizi hela za capacity charge tunazolipa makampuni yazalishao umeme hatuwezi kununua mitambo yetu ya kufua umeme wa gesi ikawa mali ya tanesco?
Kivipi? Kwa kuja wageni kuwekeza? Nchi ndo zinavyoendelea hivyo hata wewe ukiona fursa kenya, uganda n.k kawekeze. Kuna watanzania kibao nchi za watu wanavuta pesa. Sijui mnataka dunia iendeshweje au mlitaka aje kuwekeza mzungu? Ukiwa na capital hakuna nchi utakatazwa kuwekezaNchi ya shaghla baghla hufanya mambo yake pia kwa mtindo wa shaghla baghla
Azalishe tu mradi bei ya umeme isiwe ya kibepari...
Na wewe fisadi nn!unit kwa sh bado ni nyingi mno,kwa gesi tuliyonayo inatakiwa unit 1 kwa shilingi 20
Kivipi? Kwa kuja wageni kuwekeza? Nchi ndo zinavyoendelea hivyo hata wewe ukiona fursa kenya, uganda n.k kawekeze. Kuna watanzania kibao nchi za watu wanavuta pesa. Sijui mnataka dunia iendeshweje au mlitaka aje kuwekeza mzungu? Ukiwa na capital hakuna nchi utakatazwa kuwekeza
acha umbwiga ni benki gani iliyoibiwa? ambayo sasa haipooo??Nimesema hivi, hayo ni mawazo ambayo hayaiendelezi Afrika na ikiwa watu watafata hayo mawazo yako basi hakutafanyika kitu.
Benki zinaibiwa na watu wanaenda kuweka fedha zao benki kila siku. Fikiri.
Naddhani umekulia nchi ya shaghla baghla na hujui nchi nyingine zinaendeshaje mambo yao kwa hiyo unaimba nyimbo za kila siku za wanasiasa wa shaghla baghla za kuvuta hao wanaoitwa wawekezaji. Nchi za uhakika zina taratibu tofauti kabisa katika mambo ya ujenzi wa vitu kama uzalishaji wa umeme, barabara, na reli.
Hivi hizi hela za capacity charge tunazolipa makampuni yazalishao umeme hatuwezi kununua mitambo yetu ya kufua umeme wa gesi ikawa mali ya tanesco?