Dangote: Mega corruption discouraged me from investing in Kenya

Nissan to build a $20 million-Kshs 2 billion car assembly plant in Kenya

Hawa wamewekeza wapi?
Wacha kukurupuka soma habari ya hao investors, wametoa ilani kwamba serikali iwapatie 25% discount on importation ili wawekeze. Hiyo ni ndoto, serikali yenyewe haikusanyi kodi ya kutosha, 50% ya kodi iliyokusanywa inaenda kulipa madeni ya miradi hewa
 
Nissan to build a $20 million-Kshs 2 billion car assembly plant in Kenya

Hawa wamewekeza wapi?
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
 
Nigeria is the most corrupt country in earth ...why did he invest there?lame excuse
 
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
Weka data acha kujiliwaza kila mtu akizungumza ukweli kuhusu Kenya anakuwa mtanzwnia?, huyu ameripoti alichokisema Jeff Koinange, kosa lake ninini?, the trueth is Kenya is more corrupt than Naigeria.
 
Weka data acha kujiliwaza kila mtu akizungumza ukweli kuhusu Kenya anakuwa mtanzwnia?, huyu ameripoti alichokisema Jeff Koinange, kosa lake ninini?, the trueth is Kenya is more corrupt than Naigeria.
Trueth?? Naigera ???/...buda ulisomea bongolala high
 
Hapa ndipo Tomaso ataamini kwamba Magufuli ni chuma cha reli
 
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
Hahahaha nashangaa ni vipi huyo huyo Dangote amewekeza huko Nigeria if at all Ni corrupt pia? He is also a corrupt businessman to say the least.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…