Dangote: Mega corruption discouraged me from investing in Kenya

Dangote: Mega corruption discouraged me from investing in Kenya

Nissan to build a $20 million-Kshs 2 billion car assembly plant in Kenya

Hawa wamewekeza wapi?
Wacha kukurupuka soma habari ya hao investors, wametoa ilani kwamba serikali iwapatie 25% discount on importation ili wawekeze. Hiyo ni ndoto, serikali yenyewe haikusanyi kodi ya kutosha, 50% ya kodi iliyokusanywa inaenda kulipa madeni ya miradi hewa
 
Nissan to build a $20 million-Kshs 2 billion car assembly plant in Kenya

Hawa wamewekeza wapi?
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
 
By NAHASHON MUSUNGU
Africa’s richest man Aliko Dangote shelved plans to extend his vast business empire to Kenya, after being put off by top decision makers in the country whom he has described as “more corrupt than Nigerians.”
Celebrated media personality Jeff Koinange recently made the revelation from a private conversation he had with the Nigerian billionaire businessman.
Speaking on his breakfast show on local FM station, Koinange shared details of his chat with Dangote whom he meet when attended the tycoon’s daughter’s wedding in Nigeria last month.
“I asked him, ‘Al Hajj when are you coming back to Kenya?’ and he said ‘Jeff, there are people in that place (Kenya) who put greed and personal interest ahead of national interest. I didn’t think Kenya would be more corrupt that Nigeria.'” Koinange narrated on air.
RELATED STORY:
Jeff Koinange wines, dines with world’s super rich at wedding of Nigerian tycoon’s daughter
Dangote, who has been estimated to be Sh1.5 trillion by Forbes, visited Kenya in September 2013 as part of a high-powered delegation of 50 wealthy Nigerian businessmen accompany the country’s then president President Goodluck Jonathan.
It thereafter emerged that Dangote was interested in setting up a cement factory in Kenya, an investment that was projected to be worth Sh100 billion.
Nothing has happened since, amid reports that he had a change of heart and relocated the project to Ethiopia and Zambia.
Koinange is a close friend of Dangote, a relationship that blossomed when the award winning journalist was a corespondent of the Cable News Network (CNN) in Nigeria.
Dangote: Mega corruption discouraged me from investing in Kenya - Nairobi News
Nigeria is the most corrupt country in earth ...why did he invest there?lame excuse
 
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
Weka data acha kujiliwaza kila mtu akizungumza ukweli kuhusu Kenya anakuwa mtanzwnia?, huyu ameripoti alichokisema Jeff Koinange, kosa lake ninini?, the trueth is Kenya is more corrupt than Naigeria.
 
Weka data acha kujiliwaza kila mtu akizungumza ukweli kuhusu Kenya anakuwa mtanzwnia?, huyu ameripoti alichokisema Jeff Koinange, kosa lake ninini?, the trueth is Kenya is more corrupt than Naigeria.
Trueth?? Naigera ???/...buda ulisomea bongolala high
 
Hapa ndipo Tomaso ataamini kwamba Magufuli ni chuma cha reli
 
Wachana na uyo bitter danganyika, nigeria kwenye dangote ametoka is the most corrupt country on earth alafu anatwambia nini? Though i dont support corruption im aganist it....
Hahahaha nashangaa ni vipi huyo huyo Dangote amewekeza huko Nigeria if at all Ni corrupt pia? He is also a corrupt businessman to say the least.
 
Back
Top Bottom