...Pdidy....toa ramani inayoeleweka niwasiliane na mpiganaji Kova tuone jinsi ya kumaliza hiyo habari kabisa!!!Danguro la wanafunzi na waiosoma wakiwemo watotp wadogo limegunduliwa
\kinondoni karibu na manyanya likimilikiwa na mwarabu na wanamama wawili ambao wamekuwa wakivilisha vitoto hivyo na kuviuza kwa sh 4000 hukuwakiwapa 2000 na kuchukua 2000...
habari zaidi zinasema wahusika wote wameshakamatwa ila
cha kuhuzunisha ni juzi tu kulikuwa kimya jana shuguli zimeendelea kama kawaida......
wakionyeshwa katika picha watoto hao wamekiri walikuwa a wengine wanaendelea kusoma huku wkaifanya biashara hiyo
mmoja wa mababu wa jirani wamesema jamani nashukuru mungu mkubwa nimeumia sana na kuwakanya wapi
mungu fungua danguro zote
Jamani this is really sad, laana hizi tutazipeleka wapi jamani!!! Pdidy hope you found the paper and have done the needful so some serious steps can be taken.
Mungu atusamehe sana kwa mambo kama haya!
Danguro la wanafunzi na waiosoma wakiwemo watotp wadogo limegunduliwa
\kinondoni karibu na manyanya likimilikiwa na mwarabu na wanamama wawili ambao wamekuwa wakivilisha vitoto hivyo na kuviuza kwa sh 4000 hukuwakiwapa 2000 na kuchukua 2000...
habari zaidi zinasema wahusika wote wameshakamatwa ila
cha kuhuzunisha ni juzi tu kulikuwa kimya jana shuguli zimeendelea kama kawaida......
wakionyeshwa katika picha watoto hao wamekiri walikuwa a wengine wanaendelea kusoma huku wkaifanya biashara hiyo
mmoja wa mababu wa jirani wamesema jamani nashukuru mungu mkubwa nimeumia sana na kuwakanya wapi
mungu fungua danguro zote
Jinsi ulivyo toa hiyo habari ni kama vile unaishi nyumba ya jirani na hilo dangulo,badaye nakuja kugundua kumbe hiyo habari umeing'amua kutoka kwenye gazeti,ni gazeti gani (hope siyo magazeti ya udaku) na nani mwandishi wa habari hiyo, je wamesema hao watoto wana umri gani?.
Ni gazeti la udaku la Sani
You simply can't get rid of sex workers. Kazi hii ihalalishwe ili iwe rahisi kui-control. Mataifa mengine yanafanyaje?
.
You simply can't get rid of sex workers. Kazi hii ihalalishwe ili iwe rahisi kui-control. Mataifa mengine yanafanyaje?
.